Naomba kujua Commission kwa CRDB Fahari Huduma

Siyo mvumilivu, kama kwa mwezi wa kwanza ukapata 150000 ungeendelea ungepata wateja wengi tu
 
Mim naona angalau ukichanganya na huduma nyingine kama vile stationary kidogo inakuwa inalipa

phat_07
 
Namaanisha, unakuwa na mpesa, tigo, na Airtel money, huduma ya stationary then ndio CRDB

phat_07
 
Chonkaaa kumbe ndo hazina faida namna hii?dogo ameomba hz mashine crdb na nmb kapata crdb hahahaa akija pata elfu 50 kamishen naona ataitupa hiyo mashine[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1m haitoshi utaenda bank mpaka uchanganyikiwe na faida itaishia kwenye usafiri labda hilo eneo wateja wawe wa elfu hamsini hamsini, 1m ukimuekea mteja utapata kama sikosei 2000
We mwalimu wako kapata shida sana kukuelewesha.
Wapi nimesema 1m inatosha?
Nilikua najaribu kujenga hoja kwa kutumia mfano ambao ni imaginary tu sasa ndo umejibia kama real fact au hujui maana ya mfano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swali lako ulitaka nijibu kwa 10m? Hongera mwalimu wako wewe alikufundisha vizuri ndo maana ukaja hapa kuuliza
 
Jamani nia ni kueleweshana na sio mabishano, kumbukeni wangine tunasikiliza mawazo yenu nyie wenye uzoefu ili tuweze kusonga mbele au kuweza kufanya maamuzi

phat_07
 
Nilimuuliza mmoja wa agent wa CRDB aliniambia kwamba unatakiwa uwe na capital ya kuanzia 2M ili upewe ile mashine kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo, mtaji unaweza kuwa zaidi au chini ya 2M.
Asante bwana Mbuty,
 
Nilimuuliza mmoja wa agent wa CRDB aliniambia kwamba unatakiwa uwe na capital ya kuanzia 2M ili upewe ile mashine kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo, mtaji unaweza kuwa zaidi au chini ya 2M.
Ni kweli ukiweka kuna hela inakatwa kwa ajili ya machine zinazobaki unarudishiwa
 
Nilienda walinipa form yao mashine unalilia 236000

phat_07
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…