JOSEPHAT_07
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 303
- 181
Naomba msaada wa kujua commission kwa huduma zinazotolewa na POS ya CRDB Fahari Huduma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nakuambia jiungeNimeenda tawi moja huku Tabata Segerea ila hawatoi majibu ya kuelewa zaidi zaidi wanakusisitiza ujiunge
phat_07
Pamoja na hayo bado kuna average ya kiasi gani mtoa huduma atapata endapo atafanya transaction ya let say 100K.Kamisheni siyo mshahara kwamba kila mwezi ufanane, kamisheni haifanani inategemea miamala ulofanya na aina ya miamala pamoja na kiasi mtaji ulichonacho kwamba kila mteja anayekuja kwako lazima ahudumiwe, hapa ndo kwenye fumbo utafanyaje usikose flot
Sawa najua kuwa kamisheni inategemea lakini nilichokuwa nataka kujua kamisheni ya huduma zake nyingine kama huduma za DAWASCO, TRA, LUKU, NA MALIPO MENGINE YA SERIKALIKamisheni siyo mshahara kwamba kila mwezi ufanane, kamisheni haifanani inategemea miamala ulofanya na aina ya miamala pamoja na kiasi mtaji ulichonacho kwamba kila mteja anayekuja kwako lazima ahudumiwe, hapa ndo kwenye fumbo utafanyaje usikose flot
1m haitoshi utaenda bank mpaka uchanganyikiwe na faida itaishia kwenye usafiri labda hilo eneo wateja wawe wa elfu hamsini hamsini, 1m ukimuekea mteja utapata kama sikosei 2000Pamoja na hayo bado kuna average ya kiasi gani mtoa huduma atapata endapo atafanya transaction ya let say 100K.
Au average ya commission ambayo mtu atapata akiwa na mzunguko mzuri wa wateja na akawa na fixed capital of let say 1M.
Sent using Jamii Forums mobile app
1m haitoshi utaenda bank mpaka uchanganyikiwe na faida itaishia kwenye usafiri labda hilo eneo wateja wawe wa elfu hamsini hamsini, 1m ukimuekea mteja utapata kama sikosei 2000Pamoja na hayo bado kuna average ya kiasi gani mtoa huduma atapata endapo atafanya transaction ya let say 100K.
Au average ya commission ambayo mtu atapata akiwa na mzunguko mzuri wa wateja na akawa na fixed capital of let say 1M.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa huwa ni sadaka tu kamisheni yake ndogo sanaSawa najua kuwa kamisheni inategemea lakini nilichokuwa nataka kujua kamisheni ya huduma zake nyingine kama huduma za DAWASCO, TRA, LUKU, NA MALIPO MENGINE YA SERIKALI
phat_07
True.1m haitoshi utaenda bank mpaka uchanganyikiwe na faida itaishia kwenye usafiri labda hilo eneo wateja wawe wa elfu hamsini hamsini, 1m ukimuekea mteja utapata kama sikosei 2000
Mh,,,,,,sasa c bora airtelmoney maana kwenye kuweka 1m unapata 1,500 na point.Ninavyojua Mimi kila transaction ya milioni unapata 700 tu
Kama ni 200 wangetajirika Sana maagent
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongea ila hujui, mitandao ya simu laki 6 ukiweka unapata 1400 na ukiweka milioni 1 unapata 1500 hapa wanuaogawana hii hela ni wengi tofauti na wakala wa bank hakuna hivyo vituNinavyojua Mimi kila transaction ya milioni unapata 700 tu
Kama ni 200 wangetajirika Sana maagent
Sent using Jamii Forums mobile app