Waandishi wa habari ni watu muhimu ktk maendeleo na ustawi wa jamii/nchi yoyote duniani.Hivyo ni muhimu sana kuwa na vyombo vya habari makini vyenye waandishi/watangazaji makini.Hakuna ubishi ktk hili na mimi nashawishika kusema itv ni chombo makini cha hbr kinachozingatia hilo,walakini star tv inanitia shaka hasa kwa watangazaji wake wa kike weledi wao ni hafifu.Anyway nisaidieni kujua cv zao hususani sauda mwilima,ivona kamuntu na wengineo.
Waandishi wa habari ni watu muhimu ktk maendeleo na ustawi wa jamii/nchi yoyote duniani.Hivyo ni muhimu sana kuwa na vyombo vya habari makini vyenye waandishi/watangazaji makini.Hakuna ubishi ktk hili na mimi nashawishika kusema itv ni chombo makini cha hbr kinachozingatia hilo,walakini star tv inanitia shaka hasa kwa watangazaji wake wa kike weledi wao ni hafifu.Anyway nisaidieni kujua cv zao hususani sauda mwilima,ivona kamuntu na wengineo.
Mimi nina hamu sana ya kujua CV ya Tom Chilala.Huyu bwana ananishangazaga sana na utangazaji wake!Waandishi wa habari ni watu muhimu ktk maendeleo na ustawi wa jamii/nchi yoyote duniani.Hivyo ni muhimu sana kuwa na vyombo vya habari makini vyenye waandishi/watangazaji makini.Hakuna ubishi ktk hili na mimi nashawishika kusema itv ni chombo makini cha hbr kinachozingatia hilo,walakini star tv inanitia shaka hasa kwa watangazaji wake wa kike weledi wao ni hafifu.Anyway nisaidieni kujua cv zao hususani sauda mwilima,ivona kamuntu na wengineo.
Jamani wadau! Tuache character assassination ! Hapa mbona tunawanyima raha hawa watu bila makosa yoyote? Huwezi pendwa na kila mtu duniani hapa bwana acheni kudhalilisha watu kwenye JF! Ninyi mna weledi wa kiasi gani kazini kwenu? Au sababu hatujui mnafanyia wapi! Simple minds discuss people !!! Let us discuss at least events!!!!!!! If not theories!!!sauda mwilima itakuwa kaishia form 4 ila sina uhakika
mmh mpaka kamuntu unamtilia shaka~ huyu dada namkubali sana na ana uwezo mkubwa sana kwenye hii tasnia, kwa sauda uwezo wake ni kuburudisha na kuongea na wasaani hata usipokuwa na elimu
kubwa u can manage
Acha majungu wewe,Star TV majembe labda ulizia CV za watu wa kilauzi TV.
Ivoni kamuntu kasoma chuo cha buguruni Times
Ivoni kamuntu kasoma chuo cha buguruni Times
mmh mpaka kamuntu unamtilia shaka~ huyu dada namkubali sana na ana uwezo mkubwa sana kwenye hii tasnia, kwa sauda uwezo wake ni kuburudisha na kuongea na wasaani hata usipokuwa na elimu kubwa u can manage