Naomba kujua dawa zinzotolewa kutibu Dengue.

katichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
2,011
Reaction score
1,181
Poleni kwa kazi! Naomba kuuliza kama mtu unaona unadalili zinazofanana na dengue na kwa bahati mbaya eneo ulilopo vipimo vya ugonjwa huo havijafika ni dawa zipi tunazoweza kuzitumia ili kutibu gonjwa hilo?
Nawasilisha!
 
Haaa sawa mkuu
Kunywa panadol na maji kama lita 3 kwa siku kisha unaweza kuwa unatibu na dalili zinazojitokeza mfano mimi magoti na mikono kukosa nguvu novaphex ilinisaidia sana pia kuondoa kichefu chefu kwa sasa napambana na kizungu zungu kikiisha naamini nitakuwa salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…