Naomba kujua hawa wasanii

Naomba kujua hawa wasanii

mjukuum

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
5,258
Reaction score
2,842
Naomba kujuawaliko hawa watu
Yuko wapi bishanga bashaija
Yuko wapi nyamayao
Yuko wapi kibakuri
Yuko wapi kiroboto
Wapi jeby
Wapi joslini
Yuko wapi back rhino
Yuko wapi abdalah husen alikuwa mtangazji radio one
 
"Fani ni fani muulize Bishanga Bashaija sanaa ya bongo kwa wasanii haina faida" By Prof Jay.
 
Wapo mkuu....Vipi unataka uwachukue mkapige show huko kijijini kwenu?!
 
Naomba kujuawaliko hawa watu
Yuko wapi bishanga bashaija
Yuko wapi nyamayao
Yuko wapi kibakuri
Yuko wapi kiroboto
Wapi jeby
Wapi joslini
Yuko wapi back rhino
Yuko wapi abdalah husen alikuwa mtangazji radio one

Back rhino??..hi hi hiiii....may be he is back to ben pol back!
 
Jebby alihojiwa na planet bongo akasema anaandaa video maana hawezi rudi kama zamani wakati watazamaji na mashabiki wanapenda video Kali
Joslin bhana, jamaa yupo na alitoa wimbo wake kama miezi miwili mitatu hivi lakini umekosa airtime
 
Back
Top Bottom