kimbisi mbisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 508
- 132
Muulize mwenyewe atakupa majibu
Muulize mwenyewe atakupa majibu
Muulize mwenyewe atakupa majibu
Mmoja wa wazanzibar wenye akili sana. Alisoma kabla ya mapinduzi ya Zanzibar. Aliondoka nchini mapema miaka ya sitini. Alienda kufanya kazi BBC na baadae kuwa mhariri wa magazet makubwa yaandikayo kuhusu afrika. Ana masters. Anajua lugha nyingi ukiondoa kiswahili. Anajua English fasaha; kifaransa fasaha;kiarabu fasaha na kireno. Hizi anaongea kama wew unavyoongea kisukuma mana kiswahili pia wengi hatujui. Yeye kiswahili anakijua kwa kukiongea na kukiandika kwa ufasaha. Ndio maana makala zake kwenye raia mwema unaweza ukadhani kakosea kumbe ndo kiswahili hasa.
Nimefura kuona Punjabu upo!.He is one of the best progressive intellectual.
Mmoja wa wazanzibar wenye akili sana. Alisoma kabla ya mapinduzi ya Zanzibar. Aliondoka nchini mapema miaka ya sitini. Alienda kufanya kazi BBC na baadae kuwa mhariri wa magazet makubwa yaandikayo kuhusu afrika. Ana masters. Anajua lugha nyingi ukiondoa kiswahili. Anajua English fasaha; kifaransa fasaha;kiarabu fasaha na kireno. Hizi anaongea kama wew unavyoongea kisukuma mana kiswahili pia wengi hatujui. Yeye kiswahili anakijua kwa kukiongea na kukiandika kwa ufasaha. Ndio maana makala zake kwenye raia mwema unaweza ukadhani kakosea kumbe ndo kiswahili hasa.
Mimi anachoniudhi ni kuwa haandiki vitabu
huyu anahitaji kuandika vitabu tele kwa faida ya vizazi vijavyo