kimbisi mbisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 508
- 132
Ahmed Rajabu.
Mi naomba kuuliza kwa wenye kujua na hasa wafatiliaji wa vyombo vya habari kwa ujumla wake, kuna huyu mwandishi mkongwe aitwaye Ahmed rajabu, kwa mda mrefu nimekuwa nikiona anaalikwa na vyombo mbalimbali vya habari kwa ajili ya uchambuzi wa mambo mbalimbali hasa yanayotokea afrika, mashariki ya kati ,ulaya na asia.kwa kweli ananivutia sana, nilikuwa naomba kujua elimu yake,historia yake, kaanzia wapi kikazi n.k na je analipwa anapoojiwa au anajitolea?,yangu ni hayo, naomba kuwasilisha,ahsanteni.
Mi naomba kuuliza kwa wenye kujua na hasa wafatiliaji wa vyombo vya habari kwa ujumla wake, kuna huyu mwandishi mkongwe aitwaye Ahmed rajabu, kwa mda mrefu nimekuwa nikiona anaalikwa na vyombo mbalimbali vya habari kwa ajili ya uchambuzi wa mambo mbalimbali hasa yanayotokea afrika, mashariki ya kati ,ulaya na asia.kwa kweli ananivutia sana, nilikuwa naomba kujua elimu yake,historia yake, kaanzia wapi kikazi n.k na je analipwa anapoojiwa au anajitolea?,yangu ni hayo, naomba kuwasilisha,ahsanteni.