wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
sawa nimekupataPunguzeni kidogo basi, alishaolewa akafiwa na mumewe ni mama na ana watoto kadhaa hamjawahi mfuatilia albums zake za hapo nyuma ?
Kagame hataki kusikia mtu akitamka Tutsi au Hutu. Akisoma huki ulichoandika atafanya kila awwzalo aweze ku hack account yako ili akujue, akutafute na akushushhulikie.Angesema mtoto wa kitutsi kwani watutsi wapo wa Burundi na Rwanda
Mpaka sasa sijapewa jibu la nilichoulizaMtoa mada anahitaji kujua historia ya Christina shusho,nyie member vilaza mnaleta makasiriko yenu na malumbano hapa stupid
Ni mzuri na ana mvuto wa kipekeeHuyo shusho ni mzuri sana au ni macho yangu yananidanganya?
Hakika anavutia sanaNi mzuri na ana mvuto wa kipekee
Si kweli, watanzania acheni uchawi. Huyu dada alimgomea hadi mzee msoga miaka hiyo.Ndie muimba gospel anayeongoza kuliwa na kila mtu mwenye vijihela au jina mjini...
😅😂😅 Alifiwa na mume yupi acha uongo basi... Huyo dada ndoa yake ilivunjika kwasabab ya uzinzi wake... Sasa hivi analiwa tu hovyo, makanisa mengi yamemtenga kwasabab ya uzinzi wake...Punguzeni kidogo basi, alishaolewa akafiwa na mumewe ni mama na ana watoto kadhaa hamjawahi mfuatilia albums zake za hapo nyuma ?
DuNdie muimba gospel anayeongoza kuliwa na kila mtu mwenye vijihela au jina mjini...
Yaani wee acha tu, mmeharibika kama wew juzi nilishangaa ilivyokua unatetea mashoga wenzakoWatoto wa kiume mmeharibika
Kama Katavi wapo wenyeji, japo Watusi wapo ila walikuwa wakuishi kwenye makambi yao, kwa umalaya sawa hawana hizo tabia kivile, ila Watusi inasemekana hawapendi kuzaa na watu wengine au kabila nyingine unaweza muoa lakini yupo mtusi anayekuja kupanda mbegu [emoji3][emoji3][emoji3]Ya kweli,kwasababu za kihistoria,watusi wapo maeneo hayo,ni wazuri sana halafu hawana sifa ya umalaya,tofauti na wadada wanaosifika kwa uzuri wa Manyara au Singida.
Ha ha ha wahutu wamekukosea nini, ila watu wakazi tu urembo kwao mmm mbalimbali kabisa kama wamama wakinyaki[emoji23][emoji23][emoji23]Mnajua kuongea mataptap sijui stiri za kijiweni?
Watutsi ni dada zangu lkn utulivu zero.
Siku hizi tunawakwepa kuwaoa, hawajui kukataa.
Wahutu wana ahueni huenda sababu wengi sio warembo.pia wahutu wanawake wachapa kazi sana tofauti na binti wa kitutsi
Sio joka la mdimu?Aliwahi kuwa na kamgogoro na mmewe.....wana siasa sio watu..
Rejea mzee mamvi, mwenye sikio na asikie
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] duu kama wiki hivi nilipanda basi moja la mkoa wakapiga nyimbo hizo daa ha ha ha [emoji23]Hujui ulichoandika na marangi yako kichwani kama mcheza show wa Bozi Boziana.
Watu mna roho mbaya sasa kwanini hatukupeana taarifa sasa tuone wote..,😋😋😋...vipi kipindi kimeisha??ndio namcheki hapa
ndo amepelekea nimeuliza swali hilo
Nasikia ndoa imemshindasister amebarikiwa
anajua kufanya live performance
hivi ameolewa?
Ndiyo ukweli hawazai na watu au kabila nyingineAti umesema sio malaya? Waulize waliooa huko. Ukiona ameaga anaenda kusalimia kwao, ujue kuna mwamba wa kinyaru anaenda kupewa utamu na akibeba mimba tu nduki siku hiyohiyo. Unakuja kupewa yote ukidhani ni mapenzi kumbe anataka kukuhadaa.
Inasemekana wanyarwanda wengi huoana wao kwa wao (hasa tutsi) ili kuemdeleza kizazi chao. Hivyo ukioa mnyarwanda, kati ya watoto 2 mmoja ni pure Rwandan.
Yakufiwa mmm hapana utakuwa umechanganya madesa, huyu mgogoro wa ndoa sawa, aliyefiwa miaka hiyo si yeye, nenda ka Google tena upate uhakika.Punguzeni kidogo basi, alishaolewa akafiwa na mumewe ni mama na ana watoto kadhaa hamjawahi mfuatilia albums zake za hapo nyuma ?
Duuuh makubwaaa.Ndie muimba gospel anayeongoza kuliwa na kila mtu mwenye vijihela au jina mjini...