Naomba kujua historia ya Christina Shusho

Naomba kujua historia ya Christina Shusho

Angesema mtoto wa kitutsi kwani watutsi wapo wa Burundi na Rwanda
Kagame hataki kusikia mtu akitamka Tutsi au Hutu. Akisoma huki ulichoandika atafanya kila awwzalo aweze ku hack account yako ili akujue, akutafute na akushushhulikie.
 
Punguzeni kidogo basi, alishaolewa akafiwa na mumewe ni mama na ana watoto kadhaa hamjawahi mfuatilia albums zake za hapo nyuma ?
😅😂😅 Alifiwa na mume yupi acha uongo basi... Huyo dada ndoa yake ilivunjika kwasabab ya uzinzi wake... Sasa hivi analiwa tu hovyo, makanisa mengi yamemtenga kwasabab ya uzinzi wake...
 
Ya kweli,kwasababu za kihistoria,watusi wapo maeneo hayo,ni wazuri sana halafu hawana sifa ya umalaya,tofauti na wadada wanaosifika kwa uzuri wa Manyara au Singida.
Kama Katavi wapo wenyeji, japo Watusi wapo ila walikuwa wakuishi kwenye makambi yao, kwa umalaya sawa hawana hizo tabia kivile, ila Watusi inasemekana hawapendi kuzaa na watu wengine au kabila nyingine unaweza muoa lakini yupo mtusi anayekuja kupanda mbegu [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajua kuongea mataptap sijui stiri za kijiweni?
Watutsi ni dada zangu lkn utulivu zero.
Siku hizi tunawakwepa kuwaoa, hawajui kukataa.
Wahutu wana ahueni huenda sababu wengi sio warembo.pia wahutu wanawake wachapa kazi sana tofauti na binti wa kitutsi
Ha ha ha wahutu wamekukosea nini, ila watu wakazi tu urembo kwao mmm mbalimbali kabisa kama wamama wakinyaki[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati umesema sio malaya? Waulize waliooa huko. Ukiona ameaga anaenda kusalimia kwao, ujue kuna mwamba wa kinyaru anaenda kupewa utamu na akibeba mimba tu nduki siku hiyohiyo. Unakuja kupewa yote ukidhani ni mapenzi kumbe anataka kukuhadaa.

Inasemekana wanyarwanda wengi huoana wao kwa wao (hasa tutsi) ili kuemdeleza kizazi chao. Hivyo ukioa mnyarwanda, kati ya watoto 2 mmoja ni pure Rwandan.
Ndiyo ukweli hawazai na watu au kabila nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom