Naomba kujua historia ya Christina Shusho

Naomba kujua historia ya Christina Shusho

Ya kweli,kwasababu za kihistoria,watusi wapo maeneo hayo,ni wazuri sana halafu hawana sifa ya umalaya,tofauti na wadada wanaosifika kwa uzuri wa Manyara au Singida.
Mnajua kuongea mataptap sijui stori za kijiweni?
Watutsi ni dada zangu lkn utulivu zero.
Siku hizi tunawakwepa kuwaoa, hawajui kukataa.
Wahutu wana ahueni huenda sababu wengi sio warembo.pia wahutu wanawake wachapa kazi sana tofauti na binti wa kitutsi
 
Aliwahi kuwa na kamgogoro na mmewe.....wana siasa sio watu..
Rejea mzee mamvi, mwenye sikio na asikie
Si walisha elewana? Mbna kuna siku niliona FB ktk ukurasaa wake, alipost clip akiwa na mumewe pale kanisani kwake Ubungo,

Na alipost hivyo kuwajibu waja waliokuwa wana uliza kuhusu mumewe.

Ilikua December mwaka jana.
 
Back
Top Bottom