Naomba kujua historia ya Urusi

Safi sana mkuu.pata soda kwa mangi hapo ntakuja kulipa...lol hapa elimu tosha kabisa,naona na Magufuli wetu anajaribu ku apply baadhi ya mambo aliyofanya Roosevelt ya new deal....
Cant wait for the next episode
 
Phase hii umenikumbusha vitu vingi hususan new deal niliisoma ten years past

Kumbuka kaka swali langu la uchumi wa kichina na ubepari nawakwti n nchi ya kisoshalisti?
Uchumi uliomfanya mwalimu ang'atuke Larkin wao walikope vip mwalimu asindwe na wakat n marafiki
 
Mtaalaam yuko chimbo anafukua nondo labda naweza anza kidogo kisha atamalizia. Kwa uchina wana sera wanaita “socialism with Chinese characteristics ” yaani watawala waliamua “kuchanganya” mifumo ya ubepari na ujamaa. Siasa za nchi ni za kijamaa kwamaana ya hakuna vyama vingi kila kitu kinapangwa na serikali lakini uchumi ni wa kibepari uliochanganywa na vionjo vya kichina. Viwanda muhimu “strategic industries” mathalani viwanda vya kijeshi viwanda vya IT (huawei na vingine) viwanda vya solar viwanda vya ndege za kijeshi na za kiraia nk vyote viliwekwa chini ya Jeshi ama chini ya makampuni ya china. Pia wawekezaji wa nje wanaonzisha viwanda wanatakiwa kuingia ubia na makampuni ya china kama sehemu ya kutransfa ujuzi na technolojia. Kifupi sehemu kubwa ya uchumi wa china unamilikiwa na serikali(jeshi). Mkuu emperor atakuja malizia
 
Aisee very interesting.....especially hii NEW DEAL....nadhani mh. Magu angepitia hii "new deal program" yapo mambo mengi sana tunaweza kuyakopi na yangeweza kutusaidia...mfano TVA na Agriculture Adjustment Act...kwa nchi yetu hii yenye rutuba ya kutosha basi nadhani Africa kusingekua na njaa.
Mkuu @The Emperor nathamini sana kazi yako mkuu.....endelea kutupa darasa, elimu ni bahari
 
Nimevumilia maneno yako . Pia nimetafuta na ku google sana lakini bado siioni russia katika nchi 10 tajiri duniani. Pia siioni katika nchi kumi zilizo na strong economy duniani. Hebu nisaidie notice zako unazitoa wapi
 
Nimevumilia maneno yako . Pia nimetafuta na ku google sana lakini bado siioni russia katika nchi 10 tajiri duniani. Pia siioni katika nchi kumi zilizo na strong economy duniani. Hebu nisaidie notice zako unazitoa wapi
Acha uongo bana we umegoogle wapi? Ile nimeandika g8 countries zikaja,ufaransa,ujerumani,canada,uk,usa,rusia,japan and italy,acha uvivu
 
New deal inahitaji mapato ya kutosha na viwanda wezeshi

Wamarekan walikuwa na kila kitu ila soko likakosekana na pia alikuwa na wataalamu wa kutosha pia kipindi hicho hakukuwa na umoja imara wa kuyumbisha nchi kama sasa bali lilikuwa taifa moja n lingine

Magu akianza inabidi aipunguze nguvu na ushawishi wa upinzani then atende haki kwa wabadhirifu wa mali na awape nafasi washiriki kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji

Pia new deal lazim ifunge watu wa nje katika uwekezaji hata kuwapunguzia share je itawezekana?

Nchi kandamizi zinatabu si mchezo
 
Nimevumilia maneno yako . Pia nimetafuta na ku google sana lakini bado siioni russia katika nchi 10 tajiri duniani. Pia siioni katika nchi kumi zilizo na strong economy duniani. Hebu nisaidie notice zako unazitoa wapi

mkuu embu angalia hii link ya CIA "WORLD FACT BOOK" : The World Factbook
lakini pia lazima ujue hawa wakubwa wana vigezo tofauti tofauti vya kupima "maendeleo".ukiangalia hii fact book kuna avigezo tofauti katika kigezo kimojawapo inaonekana urusi ipo kwenye top ten. Wajuzi zaidi wa hivi vigezo labda wajazie nyama. Alichokuwa anasema huyo muheshimiwa uliyemkoti ni kuwa urusi ipo katika list ya nchi nane zilizoendelea zaidi kiviwanda na hii si longo longo ni fact mkuu. Angalia hizi link mbili zifatazo hapa utapata kitu:
1. The Group of Eight (G8) Industrialized Nations
2.WorldRichestCountries.com

karibu tujadiliane
 
Daaaah Mkuu Emperor umetisha.
Baada ya kumaliza kuisoma hii episode nikasema leo mbona umeandika epsod fupi hivi nikaanza kuscowl kurudi juu, heeeh kumbe ndefu, mim niliiona fupi kama salama ya 'mambo'. Laiti kama maandiko haya yangekuwa kwenye likitabu likubwa kama 'BS' au dictionary ya Oxford basi usiku huu lingeisha.
Big up Mkuu.

Nimeangalia profile yako upo kwenye senior member. Ombi langu kwa invisible akupendelee uwe expert member maana wew ni muhim kama Ensten kwenye bom la atomic.
Wew ni moja kati ya watu wachache sana wanaojitolea kwa mamufaa ya wengine paspo wew kubenift directly.
Rai kwa wandishi uchwala makala hizi ni electronic signatured Emperor through JF kwa matumizi mengine yeyote yale tafadhali pata kibari cha Emperor.
Ubarikiwe
 
Ebana upo vizuri sana mkuu..umetisha mbaya..au wewe usalama wa taifa nini mana upo more than deep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…