Ukitokea Airport kama waelekea Posta, maeneo ya vingunguti kuna show room ya magari nahisi ile ni Volkswaggen sasa kwenye kibanda cha mlinzi kwa juu yake wameweka gari hivi linakuwa linarotate!.. Ukienda nunua gari omba lile mkuu!.
Mimi huo upumbavu wao huwa naupingaga sana. ndio mana nikitaka kitu na tukisha afikiana bei nataka unitolee kitu nione kikikatwa seal na kutestiwa mbele yangu.