Hizo bulb zenye camera hutakuwa unawapiga chabo wateja wakipigana miti ???Gesti yangu iliyopo Ukonga Dsm mapato umefika sana.kila nikihoji naambiwa hakuna wateja kitu ambayo usiamini.Naambiwa kuna tea bulb ambazo ni camera unaweza unanishiwa kwenye simu yako unaona kila kitu.
Mwenye uzoefu au mtoa huduma hiyo tuwasiliane tufanye biashara.
Naomba na ushauri pia jinsi ya kuzibiti mapato ya Gest House kama uko mbali au busy.
Nami ndio ushauri wangu.Unapigwa,waambie kibarua kimeisha watatetereka watafanya utakavyo mkuu
Zipo pm nikuunge na wauzaji wapo dar ,Gesti yangu iliyopo Ukonga Dsm mapato umefika sana.kila nikihoji naambiwa hakuna wateja kitu ambayo usiamini.Naambiwa kuna tea bulb ambazo ni camera unaweza unanishiwa kwenye simu yako unaona kila kitu.
Mwenye uzoefu au mtoa huduma hiyo tuwasiliane tufanye biashara.
Naomba na ushauri pia jinsi ya kuzibiti mapato ya Gest House kama uko mbali au busy.
Chukua hii hapa | Utatumia simu yako kujua na kuona kinacho endelea | Hadi sauti eneo husika waweza kusikiaGesti yangu iliyopo Ukonga Dsm mapato umefika sana.kila nikihoji naambiwa hakuna wateja kitu ambayo usiamini.Naambiwa kuna tea bulb ambazo ni camera unaweza unanishiwa kwenye simu yako unaona kila kitu.
Yeah,washamzoea.Kuna jamaa anabadilisha hawa watu kila miez sitaNami ndio ushauri wangu.
Piga chini hao.
OkChukua hii hapa | Utatumia simu yako kujua na kuona kinacho endelea | Hadi sauti eneo husika waweza kusikia
View attachment 2463984
- Funga mapokezi | Utaweza kuona matukio yote 24/7 kupitia simu yako
- Bei ni TZS. 140,250 | Delivery Time Ndani ya siku 14
- Ni plug and play |
Sifa zake hizi hapa:
- High Definition: 1080P(Full-HD)
- Lens (mm): 3.6mm
- Style: Bubble Camera
- Connectivity: WiFi
- Power Mode: Mains Electricity
- Supported Mobile Systems: Android,IOS
= Inafaa pia kutumika kwenyenyumba au jengo ambalo hakuna mlinzi, na itakupa taarifa kutokana na motion detector
= Ambapo utapokea alert / Notification kwenye simu yako | Angalia maelezo kwenye hii picha
=
Wateja wakigundua kwamba nimefunga taa zenye camera si watakimbia guest yangu? Mana kama unavojua,,, mteja wa guest anahitaji privacy!!!!Chukua hii hapa | Utatumia simu yako kujua na kuona kinacho endelea | Hadi sauti eneo husika waweza kusikia
View attachment 2463984
- Funga mapokezi | Utaweza kuona matukio yote 24/7 kupitia simu yako
- Bei ni TZS. 140,250 | Delivery Time Ndani ya siku 14
- Ni plug and play |
Sifa zake hizi hapa:
- High Definition: 1080P(Full-HD)
- Lens (mm): 3.6mm
- Style: Bubble Camera
- Connectivity: WiFi
- Power Mode: Mains Electricity
- Supported Mobile Systems: Android,IOS
= Inafaa pia kutumika kwenyenyumba au jengo ambalo hakuna mlinzi, na itakupa taarifa kutokana na motion detector
= Ambapo utapokea alert / Notification kwenye simu yako | Angalia maelezo kwenye hii picha
=
Wateja wakigundua kwamba nimefunga taa zenye camera si watakimbia guest yangu? Mana kama unavojua,,, mteja wa guest anahitaji privacy!!!!
But this bulbs are awesome!!
Labda zipo kwenye corridorsHizo bulb zenye camera hutakuwa unawapiga chabo wateja wakipigana miti ???