matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wakuu nimeipa hii bidhaa mahala ila sijui jinsi ya kuandaa.
Naombeni ufahamu.
Natanguliza shukrani.
Naombeni ufahamu.
Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji naomba ABCD mkuu
Aisee nashukuru sana. Nitaufanyia mambo na kuleta ushahidi wa Picha mnato. Tunakula na nini hapo cha kusukumiaZioshe, weka kwenye sufuria then weka maji mengi ili ziive vizuri, zikiiva soga kama ugali, then tayari kwa kula
Rafiki Numbisa huna utaalamu kwenye hii kitu namie nijifunzepo.
Mkuu kuipika kabisa maana tayari ni michembe.Huu utaalamu tumuombe ngosha the don SHIMBA YA BUYENZE
Japo sijaelewa mleta mada kaomba nini maana kuna kuitengeneza michembe toka kwenye viazi au ana michembe tayari anataka kuipika
Hahaa. Yabidi huyo Ngosha atuelekeze kwa kweli.Huu utaalamu tumuombe ngosha the don SHIMBA YA BUYENZE
Japo sijaelewa mleta mada kaomba nini maana kuna kuitengeneza michembe toka kwenye viazi au ana michembe tayari anataka kuipika
Ni kweli Mkuu.Hahaa. Yabidi huyo Ngosha atuelekeze kwa kweli.
Nilivyoelewa ni kwamba ana michembe ila anataka afundishwe namna ya kuipika.
hayo ni matobolwa kama sijakosea
Wakuu nimeipa hii bidhaa mahala ila sijui jinsi ya kuandaa.
Naombeni ufahamu.
Natanguliza shukrani
Next time tafuta peanut butter ile lainii ya kumiminika, Kisha badala ya kuvisonga chemsha tuu then wakati wa kula unakua unadip kwenye hiyo siagi.....ni tamu sana na addictive kiaina vile inamelt mdomoni...niliwahi kuandaliwa na rafiki yangu Mganda mwanzoni nilisita ila baada ya kuonja nilipenda kwa kweli..Ni kweli Mkuu.
Jana usiku nilikamilisha zoezi LA kupika hiyo bidhaa na asubuhi na mapema nimeitwanga nikisindikizia na herbal tea na machungwa.
Niliiloweka kidogo. Nikaichemsha muda kadhaa hapo nilipitiwa ikaungua. Nikafuata maelekezo ya mkufunzi hapo juu kuisonga kam ugali.
Ilikuwa vzr sana ila shida sijajua kama inawekewa Chumvi au sukari imebidi niiache hivyohivyo nyutro. Leo jioni nitaimalizia Maana sijawahi kula hii kitu before.