Next time tafuta peanut butter ile lainii ya kumiminika, Kisha badala ya kuvisonga chemsha tuu then wakati wa kula unakua unadip kwenye hiyo siagi.....ni tamu sana na addictive kiaina vile inamelt mdomoni...niliwahi kuandaliwa na rafiki yangu Mganda mwanzoni nilisita ila baada ya kuonja nilipenda kwa kweli..