mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Watanzania, baada ya kuhangaika kutafuta ajira na kushindwa, nimeamua kuanzisha biashara ya M-Pesa.Tafadhali mwenye uzoefu na hii biashara naomba anifahamishe yafuatayo:
1.Mtaji wa kuanzia
2. Pamoja na M-Pesa naweza kuchanganya na biashara gani kwenye hicho chumba
3.Changamoto za M-Pesa
4.Faida yake.
Ni imani yangu mtanisaidia mawazo yenu.
1.Mtaji wa kuanzia
2. Pamoja na M-Pesa naweza kuchanganya na biashara gani kwenye hicho chumba
3.Changamoto za M-Pesa
4.Faida yake.
Ni imani yangu mtanisaidia mawazo yenu.