Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndiyo bei ya sasa boss. 250k ilikuwa mwezi wa 8/2021habari wakuu!! jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. naombeni msaada kujua uhalisia maana napata mashaka na hiyo bei.
Ukubwa gani? Material gani?habari wakuu!! jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. naombeni msaada kujua uhalisia maana napata mashaka na hiyo bei.
32,000 chukua Mzee usiache.habari wakuu!! jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. naombeni msaada kujua uhalisia maana napata mashaka na hiyo bei.
Ni muhimu pia kujua mkoa/mji ganiUkubwa gani? Material gani?
Nimeona elfu thelathini na mbili(32000)320000. laki tatu na ishirini kwa dirisha moja la 5/6?