specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Habari ndugu zangu,
Naomba kujua kama kuna kampuni inayosafirisha mizigo kutokea south Africa to DSM Tanzania.
Kama kuna mtu anajua naomba anijulishe tafadhari.
NB:Kama unawaza wizi wizi kaa mbali tafadhari, hutafanikiwa.
Naomba kujua kama kuna kampuni inayosafirisha mizigo kutokea south Africa to DSM Tanzania.
Kama kuna mtu anajua naomba anijulishe tafadhari.
NB:Kama unawaza wizi wizi kaa mbali tafadhari, hutafanikiwa.