mwambyetete
Senior Member
- May 17, 2018
- 132
- 202
Habari wakubwa,,mm n mmiliki mgen wa gar naomba kujua ni kampuni ipi nzur kwa gear na engine ambapo gari ni automatic
Aina ya gar ni toyota premio, wapo walioniambia inahitajika type iv,naipata wap na mimi niko mbeya
Pia kati ya oili za Total na castrol zipi nzur na inafaa nitumie kwa km ngap?
Tafadhali lengo sio kutangaza kwamba nnamiliki gar bali ni kupata elimu tu ,natanguliza shukran sio mbaya ukiniambia na bei zake na maduka.
Aina ya gar ni toyota premio, wapo walioniambia inahitajika type iv,naipata wap na mimi niko mbeya
Pia kati ya oili za Total na castrol zipi nzur na inafaa nitumie kwa km ngap?
Tafadhali lengo sio kutangaza kwamba nnamiliki gar bali ni kupata elimu tu ,natanguliza shukran sio mbaya ukiniambia na bei zake na maduka.