Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaongeza "apetait"
Inaongeza hamu ya tendo la ndoaJamani naombeni kujua kazi ya hivi vitu kwenye pombe kali haswa whiskey au Sprit je unaweza kutumia kwenye beer?
Walevi bhana....Inaongeza "apetait"
Haya ninayopitia Mungu anayajua. [emoji41][emoji41]Inaongeza "apetait"
hahaha asante kwa kuniita na kunifikishia ujumbe wangu.Umerudi mama mchungaji
Sanchez magoli alikumis
Acha kumuahidi mtoto wa watu uwongohahaha asante kwa kuniita na kunifikishia ujumbe wangu.
Nimemuagizia simu hope hata potea tena hewani
Ye mwenyewe anajua venye nime mmiss.
hahaha wanawake wa buza mna nini nyinyi lakini.Acha kumuahidi mtoto wa watu uwongo
Ishafungiwaa😩Mbona naambiwa hupatikan? Ama laini yako isha fugiwa?
Una nini lakiniii...imebidi nicheke tuu😂😂Haya ninayopitia Mungu anayajua. [emoji41][emoji41]
Mbuzi nlokuwa nawachunga washanunuliwa,..nimerudi sasa😎😎Umerudi mama mchungaji
Sanchez magoli alikumis
Wana viranga hatariii...lolhahaha wanawake wa buza mna nini nyinyi lakini.
Asante mama mjengo!!!Wana viranga hatariii...lol