Dragonfire
Senior Member
- May 5, 2015
- 163
- 84
Waungwana naomba kufahamu kuhusiana na tiba anazotoa Dr.Mandai ambaye ofisi zake zipo Ulongoni Gongo la Mboto, maana nashawishika kumpeleka mke wangu kupata Tiba ya Vidonda vya Tumbo.
Au kama kuna Bingwa anayeponesha na sio kutuliza naomba kujuzwa
Asanten nakaribisha maoni
Au kama kuna Bingwa anayeponesha na sio kutuliza naomba kujuzwa
Asanten nakaribisha maoni