Naomba kujua kuhusiana na biashara zaidi ya mbili

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
14,244
Reaction score
10,073
Nina maswali mawili ya kuuliza;
(a) Ku establish biashara mmoja inachukua hadi iwe stable.

(b) na kuanzisha biashara baada ya awali inatakiwa u open kwa muda gani?

Nimeuliza hivyo nina maanisha kama una msingi wa kutosha unaweza kufungua biashara zaidi ya mbili kwa muda mfupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…