Naomba kujua kuhusiana na biashara zaidi ya mbili

Naomba kujua kuhusiana na biashara zaidi ya mbili

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
14,244
Reaction score
10,073
Nina maswali mawili ya kuuliza;
(a) Ku establish biashara mmoja inachukua hadi iwe stable.

(b) na kuanzisha biashara baada ya awali inatakiwa u open kwa muda gani?

Nimeuliza hivyo nina maanisha kama una msingi wa kutosha unaweza kufungua biashara zaidi ya mbili kwa muda mfupi?
 
Back
Top Bottom