Na mm niliwahi sikia kitu kama hikiSura yake ilibaki kwenye kitambaa alicho futwa na veronica kwenye ile siku ya mateso yake na watuwote waliokula shavu ya picha zao kutumika ni wale waliokua wanafanana naye
Tupe mkuu napenda kufahamu zaidHapa ndo unapokuja kugundua umuhimu wa church history kupitia kanisa mama Catholic church.
Papa Alexander VI (1492-1503),alikuwa papa wa kipindi muhimu katika historia ya ulaya ambacho huitwa renaissance au enlightenment ama middle age.(karne ya 14-17) kipindi hiki kilikuwa na mabadiliko kisayansi, muziki, dini, Sanaa nk. Hata waliosoma somo la historia ngazi za chuo wanakijua vizuri kipindi hiki ambacho makanisa ya kiprotestant yaliibuka kumpinga papa huyu. Kabla ya hapo kulikuwa na kanisa Moja tu. Catholic Church.
Huyu papa alikuwa na watoto wanne
-Giovanni
-Cesare/Cesar
-Lucresia
-Gioffre
Akina Martin Luther na kanisa la kiluther walianzisha kanisa kumpinga Papa huyu ambaye alikuwa na sifa nyingi chafu. Hayo ni machache, yapo mengi sana kuhusu Papa Alexander VI.
Mkuu pongezi kidogo kwa kuwa na imani nzuri ila kuna jambo unalolisahau, kama ulivyopokea maandiko ya biblia tambua kuwa hata picha za Yesu zilikwepo. Kwa hiyo waigizaji wanachofanya wanamchukua mtu anaefanana na Yesu ndio anacheza part yake. Kumbukumbu zipo vatican na jerusalem. Soma zaid uelewe mkuu wangu.
2016Naomba kuuliza yesu alikuwepo miaka mingapi iliyopita ?
Ni usahihi kuchonga sanamu za Yesu na Kuziabudu ?Mkuu pongezi kidogo kwa kuwa na imani nzuri ila kuna jambo unalolisahau, kama ulivyopokea maandiko ya biblia tambua kuwa hata picha za Yesu zilikwepo. Kwa hiyo waigizaji wanachofanya wanamchukua mtu anaefanana na Yesu ndio anacheza part yake. Kumbukumbu zipo vatican na jerusalem. Soma zaid uelewe mkuu wangu.
Ndio kwa sababu zinamuwakilisha Yesu. Kama unavyoyaabudu maandishi hata hizo picha zake zilikwepo.Ni usahihi kuchonga sanamu za Yesu na Kuziabudu ?
Yesu hakuwa na picha na hatumfaham kwa sura .tunamfaham kwa matendo na maneno yake. Ni ujinga kuhangaika na sura au sanamu ambazo tumezichonga tukisema ni za Yesu. Yesu yupo moyoni
Asante Sana mkuu kwa kias kikubwa nmepata mwangaNiliwahi kuandika hapa kuhusu Cesare Borgia na taswira ya Yesu Kristo
mwananchi mimi!: Cesare Borgia na taswira ya Yesu Kristo
Asante Sana mkuu kwa kias kikubwa nmepata mwanga
Lakin kuna muda walikua wanamhusisha Cesare na DA Vinci.....na inasemekana hats ile picha ya last supper jamaa alimchora Cesare as yesu kuna ukwel wowote?
sio mwanaeNavojua sheria za kanisa padre..Askof...papa haruhusiw kuoa was kuwa na mtoto!
Ilikuaje huyu Papa akawa na familia na ikawa recognizable na kanisa?
pia inasemekana martin luther senior ktk kupitapita kwenye maktaba ya vitabu huko vatican ndipo alipokuta kitabu cheusi(biblia) kimening'inizwa kwenye minyororo, akajiuliza kwanini kitabu hicho cheusi kilizungushiwa minyororo, kumbuka wakati huo hakuruhusiwa mtu yeyote kusoma biblia isipokuwa tu papa na viongozi wa juu wa kanisa katoliki. Kwahyo Martin Luther akaifungua ile minyororo ili asome na kujua kitu gani kiliandikwa ndani, hapo ndipo aliposoma na kugundua kuwa kanisa lilikuwa likifanya mambo tofauti na biblia na ndiyo maana waliwatesa sana wakristo waliokuwa na msimamo mkali wa kufata kile kilichoandikwa kwenye biblia. Baada ya Martin luther kugundua ukweli huo akaamua kumpinga papa na kuanzisha dhehebu la lutheran(protestant).Hapa ndo unapokuja kugundua umuhimu wa church history kupitia kanisa mama Catholic church.
Papa Alexander VI (1492-1503),alikuwa papa wa kipindi muhimu katika historia ya ulaya ambacho huitwa renaissance au enlightenment ama middle age.(karne ya 14-17) kipindi hiki kilikuwa na mabadiliko kisayansi, muziki, dini, Sanaa nk. Hata waliosoma somo la historia ngazi za chuo wanakijua vizuri kipindi hiki ambacho makanisa ya kiprotestant yaliibuka kumpinga papa huyu. Kabla ya hapo kulikuwa na kanisa Moja tu. Catholic Church.
Huyu papa alikuwa na watoto wanne
-Giovanni
-Cesare/Cesar
-Lucresia
-Gioffre
Akina Martin Luther na kanisa la kiluther walianzisha kanisa kumpinga Papa huyu ambaye alikuwa na sifa nyingi chafu. Hayo ni machache, yapo mengi sana kuhusu Papa Alexander VI.
Hiyo ni story ya vijiweni, siyo sababu ilomfanya Martin Luther kujitenga na ukatoliki. Kumbuka yeye alikuwa Theologian mwenye kujua kila kitu Vatican kwakuwa alikuwa ni clergyman ndani ya Vatican. Ni uongo pia kuwa Biblia ilisomwa na makleri/clergymen ama watu wenye vyeo vya kanisa.pia inasemekana martin luther senior ktk kupitapita kwenye maktaba ya vitabu huko vatican ndipo alipokuta kitabu cheusi(biblia) kimening'inizwa kwenye minyororo, akajiuliza kwanini kitabu hicho cheusi kilizungushiwa minyororo, kumbuka wakati huo hakuruhusiwa mtu yeyote kusoma biblia isipokuwa tu papa na viongozi wa juu wa kanisa katoliki. Kwahyo Martin Luther akaifungua ile minyororo ili asome na kujua kitu gani kiliandikwa ndani, hapo ndipo aliposoma na kugundua kuwa kanisa lilikuwa likifanya mambo tofauti na biblia na ndiyo maana waliwatesa sana wakristo waliokuwa na msimamo mkali wa kufata kile kilichoandikwa kwenye biblia. Baada ya Martin luther kugundua ukweli huo akaamua kumpinga papa na kuanzisha dhehebu la lutheran(protestant).
Sorry!! Huyu Veronica ni nani??Picha yake ilishawah kutumika kama yesu kwa kipindi flan ila sio mpk xahv na pia leonard da vinci aliajiliwa na mshkaji kama engineer na ndo aliechora picha zake ambazo baba ake kama ulivosema kwamba ni papa akaamua itumike kwa muda ule........ Picha zinazotumika sasa ni za brian deacon lakini based on ile picha ambayo yesu alimuachia veronica kipindi kile... Ani brian deacon sawa lakini aliefanya make up ili afanane na ile picha ya yesu alopewa veronicah
Veronica n mwanamke ambae inaaminika alimfuta yesu jasho na yesu akamuachia sura yake kwenye kitambaa alichomfutiaSorry!! Huyu Veronica ni nani??
Ni uzushi tuu kama zushi nyingine..Habari za Leo wanaJF,
Kwanza kabisa naomba kudeclare interest "Mimi n mroman catholic"
Katika pita pita zangu nmekutana na habar za huyu CESARE BORGIA wengi wakisema kua alikuwa mtoto wa papa akiwa na Mdogo wake lukresia...mengi yameongelewa lakin kubwa zaid Lililonishangaza n madai ya kuwa picha yake ndo inayotumika kama picha ya Yesu kwa sasa!
Pia Leonardo DA Vinci ametajwa pia kwenye habar za huyu bwana! He kuna ukwel wowote kuhusu yanayosemwa?
Je wanajamvi kuna yeyote mwenye uelewa zaid kuhusu hili?
Miaka ya 70....????Brian Deacon ndio mtu ambaye picha yake inatumika kama picha ya yesu tangu miaka ya 70
Yesu hakuwa na picha na hatumfaham kwa sura .tunamfaham kwa matendo na maneno yake. Ni ujinga kuhangaika na sura au sanamu ambazo tumezichonga tukisema ni za Yesu. Yesu yupo moyoni
Zaidi ya Papa Petro aliyekuwa na mtoto hakuna rekodi ya Papa mwingine aliyewahi kuwa na mtoto..Navojua sheria za kanisa padre..Askof...papa haruhusiw kuoa was kuwa na mtoto!
Ilikuaje huyu Papa akawa na familia na ikawa recognizable na kanisa?
Hii inahusiana vipi ni mada..???Ni usahihi kuchonga sanamu za Yesu na Kuziabudu ?