hi.jf member naomba kujua nn hatma ya walokuwa na defects kwenye loans app wakaambiwa warekebishe wapewe loan vp mbona bodi kmya au ndo wamewapotezea? Mwenye kujua kuhusiana na hili a2juze.. Thanx.!
dah! Pole sana lakin km ndo mwisho wa mwez huu na asilimia kubwa ya vyuo vinafungua mwanzo wa mwez huu so 2taishi vp huko vyuoni.? Jaman loan board tuhurumieniii..!