Kasulu ipi? Kasulu hapo hakuna mitumba hata grade C hupati, huko ni zile grade ya mwisho ya sh 1000/
Kwansaza watu wa huko hawavai mitumba wanapenda specila na soecila zenyewe ni zile rahisi rahisi, kitendo cha wao kuto pendelea mitumba kinafanya hata wauza mitumba wasilete nguo za maana.
Nimekaa huko nafanya kazi mashirka ya Umoja wa Mataifa,nguo za mitumba ilikuwa inabidi tungoje safari za Dar au Arusha, na Moshi ndio tukanunue, angalua kiasi Kahama.
Sio tu Kasulu, hio Kigoma nzima hakuna anaye leta Bellon Grade A wala B hata C
acha kudanganya watu humu.