Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Je uko tayari?Nakuvutia kasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je uko tayari?Nakuvutia kasi
Je uko tayari?
Teh teh teeeh!Mimi tena? Unaniangalia kwa 3D bila miwani spesheli kumbe.
Kyela????Rudi nyumbani kumenoga.
Ngoja wajeNeno kontawa nalisikia sana , utasikia mtu anasema unajifanya kontawa ?
Kontawa ina maana gani??
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua maana ya misimu kwenye kiswahili? sarufiMoja ya maneno ninayoyaona sana yakitumika na baadhi ya watu mitandaoni hata baadhi ya wasanii pia...!!
DAMSHI
PAMBE
TUNUNU
CHUCHUNGE
TUKINAO
Kontawa maana yake ni mmiliki wa eneo au ni mwenyeji wa eneoNeno kontawa nalisikia sana , utasikia mtu anasema unajifanya kontawa ?
Kontawa ina maana gani??
Sent using Jamii Forums mobile app