Naomba kujua mafuta mazuri ya kurudisha ngozi

Naomba kujua mafuta mazuri ya kurudisha ngozi

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari wadau,

Mimi kiasili nina ngozi nyeupe lakini hivi karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hivi, imekuwa kama maji ya kunde hivi, wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe. Kwahiyo naombeni msaada, ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?
 
Mimi kama mdau wa masuala ya urembo ningependa kujua ngozi yako ni kavu ama ya mafuta?

Kutokana na maelezo yako nime-notice wewe si mweupe ila una rangi mbili sehemu za mwili ambazo ziko covered ni nyeupe na usoni ni mweusi kama alivyo Magufuli sivyo? Kama jibu ni ndio solution ni rahisi sana na utabakiwa na rangi moja.
 
Habari wadau

Me kiasili Nina ngozi nyeupe lakini hiv karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hiv imekuwa Kama maji ya kunde hiv wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe so naombeni msaada Ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?

Ky
 
Habari wadau

Me kiasili Nina ngozi nyeupe lakini hiv karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hiv imekuwa Kama maji ya kunde hiv wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe so naombeni msaada Ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?
Duhhh ishu inaweza kuwa sio mafuta pengine unatembea sana juani nayo n sababu
 
Mimi kama mdau wa masuala ya urembo ningependa kujua ngozi yako ni kavu ama ya mafuta?

Kutokana na maelezo yako nime-notice wewe si mweupe ila una rangi mbili sehemu za mwili ambazo ziko covered ni nyeupe na usoni ni mweusi kama alivyo Magufuli sivyo? Kama jibu ni ndio solution ni rahisi sana na utabakiwa na rangi moja.
Latrice nimeshakuambia me Ni mweupe kote ila kwa upande wa uso rangi yangu(weupe) umeaanza kupotea na Nina ngozi ya mafuta
 
Duhhh ishu inaweza kuwa sio mafuta pengine unatembea sana juani nayo n sababu
AgnessM Nina miaka Kama 2 sijawahi kupaka mafuta usoni so nitajie mafuta mazuri niyatumie nirudishe ngozi yangu ya usoni
 
Latrice nimeshakuambia me Ni mweupe kote ila kwa upande wa uso rangi yangu(weupe) umeaanza kupotea na Nina ngozi ya mafuta
Rangi ya uso haiwezi kufifia unless unafanya kazi ngumu za juani kwa muda mwingi mfano ni kulima.

Na tena itafifia kipindi hicho tu na ukiacha kufanya hiyo kazi kwa kipindi kifupi sana unarudi kuwa kama ulivyokuwa haihitaji utumie chochote!

Am writing by experience, cha kukushauri kama huo uweupe wako ni wa asili tulia utang'aa tena ukiacha kushinda juani ila kama sio wa asili tumia mafuta yanaitwa Rinju.
 
Latrice nimeshakuambia me Ni mweupe kote ila kwa upande wa uso rangi yangu(weupe) umeaanza kupotea na Nina ngozi ya mafuta

Ngozi yako inapoteza nuru yake kutokana na athari za jua ni vizuri ukapaka moisturiser yenye vitamin E lakini pia shea butter ni nzuri sana na hakikisha unapaka sunscreen kabla ya kwenda nje.
 
Rangi ya uso haiwezi kufifia unless unafanya kazi ngumu za juani kwa muda mwingi mfano ni kulima.

Na tena itafifia kipindi hicho tu na ukiacha kufanya hiyo kazi kwa kipindi kifupi sana unarudi kuwa kama ulivyokuwa haihitaji utumie chochote!

Am writing by experience, cha kukushauri kama huo uweupe wako ni wa asili tulia utang'aa tena ukiacha kushinda juani ila kama sio wa asili tumia mafuta yanaitwa Rinju.
Weupo wangu Ni wa asili mbona mzee uniamini au mpaka nikutumie picha?
 
Back
Top Bottom