Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
KING MSWATI mimi. Avatar?[emoji28]We ke au me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KING MSWATI mimi. Avatar?[emoji28]We ke au me
Okay sawa MSWATIKING MSWATI mimi. Avatar?[emoji28]
Ss 2 yrs hupaki kitu what do u expect?.AgnessM Nina miaka Kama 2 sijawahi kupaka mafuta usoni so nitajie mafuta mazuri niyatumie nirudishe ngozi yangu ya usoni
Nakazia,tafuta hela.Tatizo la ngozi litajirekebisha lenyewe!!
Hapana aiseeeTumia Taulo Kama Nyoshi El Sadaat
Karibu kwenye mjadala bidadaSasa ndio nimeelewa, lol
nyongeza kwa kumsaidia ile org maana zipo bandia na ile yenyeweRangi ya uso haiwezi kufifia unless unafanya kazi ngumu za juani kwa muda mwingi mfano ni kulima.
Na tena itafifia kipindi hicho tu na ukiacha kufanya hiyo kazi kwa kipindi kifupi sana unarudi kuwa kama ulivyokuwa haihitaji utumie chochote!
Am writing by experience, cha kukushauri kama huo uweupe wako ni wa asili tulia utang'aa tena ukiacha kushinda juani ila kama sio wa asili tumia mafuta yanaitwa Rinju.
Mzee acha matusi.Daaah.... Mpaka umepoteza ngozi ya usoni....ulikuwa unafanywa nini?
Mzee acha matusi.
Kama uoni basi utakuwa na Matatizo.Nioneshe tusi hata moja lililopo kwenye ile sentensi.
Hata mimi nimeshangaaAseee[emoji15][emoji15][emoji849]
so you want to tell us that you have already uncovered magufuli?Mimi kama mdau wa masuala ya urembo ningependa kujua ngozi yako ni kavu ama ya mafuta?
Kutokana na maelezo yako nime-notice wewe si mweupe ila una rangi mbili sehemu za mwili ambazo ziko covered ni nyeupe na usoni ni mweusi kama alivyo Magufuli sivyo? Kama jibu ni ndio solution ni rahisi sana na utabakiwa na rangi moja.
Hata mimi nimeshangaa
Habari wadau
Me kiasili Nina ngozi nyeupe lakini hiv karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hiv imekuwa Kama maji ya kunde hiv wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe so naombeni msaada Ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?
Kama uoni basi utakuwa na Matatizo.