Naomba kujua mafuta mazuri ya kurudisha ngozi

Hahhaha dear naona boutour sijui ipoje sasa hivi yaani inanikataa kabisa nilimuona dada mmoja kapaka kennite za director Joan yaani imempendeza sana
Director naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngozi

Mi next week ntamsaka nicheki vipodozi vyake
La vista vipi ya Resty cosmetics?
 
Director naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngozi

Mi next week ntamsaka nicheki vipodozi vyake
La vista vipi ya Resty cosmetics?
La vista sijajua dear ila kennite nilimuona mtu nikamuuliza anachotumia akanijibu
 
Kwa hiyo Magu ana rangi mbili??.Watu mnajua kuongea mafumbo wacha kabisa.
 
Director naona wengi wanasifia vipodozi vyake, na anashauri pia vizuri sana kuhusu ngozi

Mi next week ntamsaka nicheki vipodozi vyake
La vista vipi ya Resty cosmetics?
Hv Serengeti bado yupo au washaachana?
 
Tafuta serum yye ya vitamin c. Uchanganye kweny lotion unayotumia
 
Tafuta serum yye ya vitamin c. Uchanganye kweny lotion unayotumia
Lovelovie Hiyo serum ni nini? Ni mafuta au nini? Kuhusu nichanganye na lotion nayotumia binafsi sina lotion na wala sipakagi mafuta kabisa na sikumbuki mara ya mwisho kupaka mafuta ilikuwa mwaka gani ila sio mbaya kama ukinishauri nitumie lotion gani Nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…