Pap Joh
Member
- Aug 18, 2019
- 69
- 48
Napenda sana unavyojituma, we mwanamke....safi sana, keep it up.
Hakika mkuu...ila mm nilikua nakimbiz 3dya nafata mzgo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu...ila mm nilikua nakimbiz 3dya nafata mzgo
Napenda sana unavyojituma, we mwanamke....safi sana, keep it up.
Amen.Amen mkuu tubarikiwe wote
Umempa ushauri mzuri na ukweli kbsKiborondo
Mtaji wa 2m ni kidogo sana kwa aina ya Biashara unayotaka kufanya
Hyo 2m ukinunua Blouse za 5000 ilii uuze 7000/10000-15000
Unapata just 400 ambazo ni chache sana hata nusu ya upande wa Frame hazijai
Location: Mbagala sio Prime Location kwa aina hyo ya quality unayotaka.
Best location kwa Grade 1 ni Mwenge/ Makumbusho/ Kinondoni
Mbagala Market segment ni Low Class na Middle class , ukisema umuuzie Blouse kwa 10/15,000 utaishia kupata masonyo au zijaribiwe bila kununuliwa Mpaka upate Mtumba wa Mbagala kwa kujaa jasho na Make up za Mbagala Rangi 3.
Huo mtaji wa 2m usichukue hata Frame , labda upange kwenye ukuta wa Mtu na kodi isizidi 4,000/= TZS kwa Mwezi
Kama umependa ushauri wangu sema ambapo hujaelewa na uulize maswali zaidi