Kiborondo
Mtaji wa 2m ni kidogo sana kwa aina ya Biashara unayotaka kufanya
Hyo 2m ukinunua Blouse za 5000 ilii uuze 7000/10000-15000
Unapata just 400 ambazo ni chache sana hata nusu ya upande wa Frame hazijai
Location: Mbagala sio Prime Location kwa aina hyo ya quality unayotaka.
Best location kwa Grade 1 ni Mwenge/ Makumbusho/ Kinondoni
Mbagala Market segment ni Low Class na Middle class , ukisema umuuzie Blouse kwa 10/15,000 utaishia kupata masonyo au zijaribiwe bila kununuliwa Mpaka upate Mtumba wa Mbagala kwa kujaa jasho na Make up za Mbagala Rangi 3.
Huo mtaji wa 2m usichukue hata Frame , labda upange kwenye ukuta wa Mtu na kodi isizidi 4,000/= TZS kwa Mwezi
Kama umependa ushauri wangu sema ambapo hujaelewa na uulize maswali zaidi