Kim McDamon
Member
- Feb 23, 2019
- 46
- 9
Okay Je hawahitaji mkataba wa kaziMaswali hakuna ni kupanda pipa tu mkuu na kusepa,Maswali utalizwa ubalozini kwenye kuchukua visa.
Okay Je hawahitaji mkataba wa kazi
Lazima uwe na huo mkataba wa kazi, kibali cha kukuruhusu wewe kwenda kufanya kazi cha muda gani passport na visa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu naJe kwa wale wanaienda kufanya kazi za ndani huwa wanahitaji kuwa na mkataba was ajira za huko nje?Lazima uwe na huo mkataba wa kazi, kibali cha kukuruhusu wewe kwenda kufanya kazi cha muda gani passport na visa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe elimu zaidi mkuuUbalozini kazi yao itakuwa ni nini ndugu?
Visa ikishatolewa kila kitu kitakuwa kimeshazingatiwa huko ubalozini mzee,ushawahi kusafiri mkuu??
ikitokea ndege hewani imetekwa na magaidi ...wakikuuliza "Allah?" Jibu "Huakbar." ...
Wakikuuliza "Muhammad?" Jibu "rasul Allah"
Wakikuuliza "la ilah?" Jibu "ila allah"
You will thank me later, for saving your life
Daah wewe ndo umeonesha chuki kwangu...mimi nimeonesha upendo kwa ndugu yangu siku ikitokea ametekwa na bok haram au Isis huko Dubai wasidhani ni kafir na kumuua....sasa kosa langu liko wapi?Mkuu jirekebishe tabia yako, udini + machuki yaliokua hayana msingi hayatokusaidia, sio kila post lazima uoneshe chuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yamebadilika siku hiz asipoenda na mkataba wa kazi hapiti kwenye zile counter za immigration.Tangu unyanyasaji ushamiri huko uarabuni mambo yamekua magumuUbalozini kazi yao itakuwa ni nini ndugu?
Visa ikishatolewa kila kitu kitakuwa kimeshazingatiwa huko ubalozini mzee,ushawahi kusafiri mkuu??
Muhimu sanaSawa mkuu naJe kwa wale wanaienda kufanya kazi za ndani huwa wanahitaji kuwa na mkataba was ajira za huko nje?
hahahahahhikitokea ndege hewani imetekwa na magaidi ...wakikuuliza "Allah?" Jibu "Huakbar." ...
Wakikuuliza "Muhammad?" Jibu "rasul Allah"
Wakikuuliza "la ilah?" Jibu "ila allah"
You will thank me later, for saving your life