Kim McDamon
Member
- Feb 23, 2019
- 46
- 9
- Thread starter
- #21
Duuuuuhhhh mambo ni moto kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukafiri!!!ikitokea ndege hewani imetekwa na magaidi ...wakikuuliza "Allah?" Jibu "Huakbar." ...
Wakikuuliza "Muhammad?" Jibu "rasul Allah"
Wakikuuliza "la ilah?" Jibu "ila allah"
You will thank me later, for saving your life
Sheikh me mufti kabisa sema sitaki makafiri wafe kizembe...au wewe unahisi ukiwaacha bok haram wawaue watagawana nawewe mabikra wao???Acha ukafiri!!!
Hongera kwa uthubutu [emoji106]Mrejesho
Nimefanikiwa kupita airport na kwa sasa nipo nchini Qatar na piga kazi tokea January 19 2020 [emoji5][emoji5][emoji5][emoji5] nashukuru kwa advice na idea zenu [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Mrejesho
Nimefanikiwa kupita airport na kwa sasa nipo nchini Qatar na piga kazi tokea January 19 2020 [emoji5][emoji5][emoji5][emoji5] nashukuru kwa advice na idea zenu [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Sure nitumie CV yako naweza kukuunganisha kwani nilichogundua huku kazi zipo zakumwaga ila wafanyakazi wapo wengi lkn wingi wa kazi ni mkubwa kushinda hiyo population ya foreigners wanaoingia Qatar
Email mcdamonkim@gmail.comSure nitumie CV yako naweza kukuunganisha kwani nilichogundua huku kazi zipo zakumwaga ila wafanyakazi wapo wengi lkn wingi wa kazi ni mkubwa kushinda hiyo population ya foreigners wanaoingia Qatar
mchongo wa Qatar huo embu tupe na sisi...
[/QUOT
Nilichogundua pia kumpata m Tanzania Qatar ni shughuli ila wakenya wamejaa km kwao yani wanakula maisha tu xx cjui wa TZ tunakwama wapi
Coz mm mwenyewe bila kumpata Rafiki waki Filipino na kunisaidia kupata sponsor na ajira maana yake ningeisikia Qatar kwenye bomba
Lazima uwe na huo mkataba wa kazi, kibali cha kukuruhusu wewe kwenda kufanya kazi cha muda gani passport na visa
Sent using Jamii Forums mobile app