Naomba kujua maswali nitayokutana nayo airport immigration

Naomba kujua maswali nitayokutana nayo airport immigration

ikitokea ndege hewani imetekwa na magaidi ...wakikuuliza "Allah?" Jibu "Huakbar." ...
Wakikuuliza "Muhammad?" Jibu "rasul Allah"
Wakikuuliza "la ilah?" Jibu "ila allah"
You will thank me later, for saving your life
Acha ukafiri!!!
 
mchongo wa Qatar huo embu tupe na sisi...
[/QUOT
Nilichogundua pia kumpata m Tanzania Qatar ni shughuli ila wakenya wamejaa km kwao yani wanakula maisha tu xx cjui wa TZ tunakwama wapi
Coz mm mwenyewe bila kumpata Rafiki waki Filipino na kunisaidia kupata sponsor na ajira maana yake ningeisikia Qatar kwenye bomba
 
Kazi ya ubalozi ni kuhakiki documents zako kabla hujaingia ncho husika. Ukishapata ruksa ya kwenda huko (viza) uhamiaji hakuna wanaloweza kukufanyia. Ww panda pipa sepa
Lazima uwe na huo mkataba wa kazi, kibali cha kukuruhusu wewe kwenda kufanya kazi cha muda gani passport na visa



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom