Naomba kujua matokeo ya mechi kati ya Polisi Mara na Polisi Tabora

Pukudu tatizo siku hizi huwa unapotea mno,leo tupe matokeo ya hii game

Nlikuwa nje ya Shinyanga! Mbali na hayo kinachoendelea Stand kimeninyima hata Uhuru wa kujiachia kwenye mitandao ya Kijamii! Leo macho na masikio ni Mtwara! Tuone ka tatizo limeisha. Leo ntakuwa nafatilia mechi daraja la 2 Kati ya AFC na Bulyanhulu
 
toto fitna anazijua hawezi kupoteza hata game moja sa'hivi na Oljoro lazima ashinde hiyo game ya Kanembwa na Mwadui hawezi kufungwa uwanja wa nyumbani labda draw tu..

ngoja na Mwadui apande akutane na majungu ya SHIREFA na SHIDEFA
 
teh teh teh kwani hapo shidefa kuna majungu sana..

Usipime khaa!! Na hivi Lugola hata uenyekiti wa Mtaa alikosa? Ila niwapongeze KINA Muhibu kukubali kwenda kujinyenyekesha na kuomba poo! Ilifikia hatua watu wakasema timu iuzwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…