Naomba kujua namna ya kufanya analysis za Forex

Naomba kujua namna ya kufanya analysis za Forex

nakushauri achana na vitabu utapoteza muda kama una pesa kidogo jaribu kuwatembelea Hawa.
Intelligence fx
Low-key fx
Dizofx
Pipstorm fx
Joshua fx
Msumba fx
wote hao wanakula market structure.
Ila ukitaka kupata mwanga 40% hata Mimi naweza kukusaidia..60% utatafuta kwa wengine.
ICT Yuko Bure pale YouTube.
Yote wanayofundisha hao yeye ndo mgunduzi, so namshauri akajifunze kwake asitoe ela kwa mtu yeyote, ni bando lake tu.
Ila vitabu vinakufanya uwe nondo zaidi.
Kwenye hii game ni managing your risk tu, hakuna strategy yenye 100% efficiency.
 
ni kweli
Broh sijui kwakweli lakini forex ni kupoteza muda sana na watu wengi wanapata hela kwa kuuza services either signal au cousre lakini kupata fedha kwenye soko uongo mzee na wengi wanaamin fx ina hela kwa kuaminishwa na mentor lakini ukimuuliza mtu onyesha account history atazunguka mara sina maonyesho mara mimi kupata hela haimaanishi na ww utapata mwsho wa siku hlo jibu hakuna
kabisa uko sahihi..lakini fahamu tu kuwa wengi wanaofanya hivyo ni failures walishindwa kuelewa soko na kuamua kuwageukia beginners...hivyo ni wezi in nature....lakini kama ukielewa alogarith ya FOREX,.uko vizuri na unapata faida kubwa tu....mimi ni trader niulize swali lolote lile linalohusu trading nakujibu....sifundishi wala kuuza signal s,...pesa ya ukweli kwenye market
 
ICT Yuko Bure pale YouTube.
Yote wanayofundisha hao yeye ndo mgunduzi, so namshauri akajifunze kwake asitoe ela kwa mtu yeyote, ni bando lake tu.
Ila vitabu vinakufanya uwe nondo zaidi.
Kwenye hii game ni managing your risk tu, hakuna strategy yenye 100% efficiency.
Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.

Kwenye forex tunafanikiwa kwa experience na siyo vitabu, experience tunaipata kupitia charts..

Nakupinga Tena , ila siyo lazima ufate ushauri wangu, hata Mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama Yako.

Ufundi nilionao kwa Sasa you tube haupo,kwenye vitabu haupo, Sasa jiulize nimeupata wapi.
 
Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.

Kwenye forex tunafanikiwa kwa experience na siyo vitabu, experience tunaipata kupitia charts..

Nakupinga Tena , ila siyo lazima ufate ushauri wangu, hata Mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama Yako.

Ufundi nilionao kwa Sasa you tube haupo,kwenye vitabu haupo, Sasa jiulize nimeupata wapi.
Ni kweli kabisa Kila kitu kipo kwenye charts sikatai, ila vitabu vina umuhimu wake kukushape kuwa Bora zaidi, mfano economic data, jinsi ya kuzi-interpret, Intermarket analysis, psychology na n.k ukichimba kwenye vitabu vya profitable traders kama Larry Williams , Karen Foo na Market Wizards Kuna vitu utagain sana.
Mfano kupitia kusoma makala, nimegundua Kuna mabadiliko kwenye algorithms kuanzia June ambapo, forex markets zitaanza kuongezwq volatilities na kuwa kama index vile, so vitu kama hivi havipatikani kwenye charts pia na kwenye vitabu.
 
nakushauri achana na vitabu utapoteza muda kama una pesa kidogo jaribu kuwatembelea Hawa.
Intelligence fx
Low-key fx
Dizofx
Pipstorm fx
Joshua fx
Msumba fx
wote hao wanakula market structure.
Ila ukitaka kupata mwanga 40% hata Mimi naweza kukusaidia..60% utatafuta kwa wengine.
Nisaidieni na Mimi namba za hao mateacher wa fx hapa Tanzania
 
B
Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.

Kwenye forex tunafanikiwa kwa experience na siyo vitabu, experience tunaipata kupitia charts..

Nakupinga Tena , ila siyo lazima ufate ushauri wangu, hata Mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama Yako.

Ufundi nilionao kwa Sasa you tube haupo,kwenye vitabu haupo, Sasa jiulize nimeupata wapi.
Boss kwema .samahan unaweza kunipa mwanga kuhus forex . Nataka nijaribu.
Nimefatiria charting zako unaonekana unamadini kuhus hii industrily .
Msaada tafadhari
 
B

Boss kwema .samahan unaweza kunipa mwanga kuhus forex . Nataka nijaribu.
Nimefatiria charting zako unaonekana unamadini kuhus hii industrily .
Msaada tafadhari
Nitafute kwa wakati wako
 
Back
Top Bottom