ICT Yuko Bure pale YouTube.nakushauri achana na vitabu utapoteza muda kama una pesa kidogo jaribu kuwatembelea Hawa.
Intelligence fx
Low-key fx
Dizofx
Pipstorm fx
Joshua fx
Msumba fx
wote hao wanakula market structure.
Ila ukitaka kupata mwanga 40% hata Mimi naweza kukusaidia..60% utatafuta kwa wengine.
kabisa uko sahihi..lakini fahamu tu kuwa wengi wanaofanya hivyo ni failures walishindwa kuelewa soko na kuamua kuwageukia beginners...hivyo ni wezi in nature....lakini kama ukielewa alogarith ya FOREX,.uko vizuri na unapata faida kubwa tu....mimi ni trader niulize swali lolote lile linalohusu trading nakujibu....sifundishi wala kuuza signal s,...pesa ya ukweli kwenye marketBroh sijui kwakweli lakini forex ni kupoteza muda sana na watu wengi wanapata hela kwa kuuza services either signal au cousre lakini kupata fedha kwenye soko uongo mzee na wengi wanaamin fx ina hela kwa kuaminishwa na mentor lakini ukimuuliza mtu onyesha account history atazunguka mara sina maonyesho mara mimi kupata hela haimaanishi na ww utapata mwsho wa siku hlo jibu hakuna
Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.ICT Yuko Bure pale YouTube.
Yote wanayofundisha hao yeye ndo mgunduzi, so namshauri akajifunze kwake asitoe ela kwa mtu yeyote, ni bando lake tu.
Ila vitabu vinakufanya uwe nondo zaidi.
Kwenye hii game ni managing your risk tu, hakuna strategy yenye 100% efficiency.
Ni kweli kabisa Kila kitu kipo kwenye charts sikatai, ila vitabu vina umuhimu wake kukushape kuwa Bora zaidi, mfano economic data, jinsi ya kuzi-interpret, Intermarket analysis, psychology na n.k ukichimba kwenye vitabu vya profitable traders kama Larry Williams , Karen Foo na Market Wizards Kuna vitu utagain sana.Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.
Kwenye forex tunafanikiwa kwa experience na siyo vitabu, experience tunaipata kupitia charts..
Nakupinga Tena , ila siyo lazima ufate ushauri wangu, hata Mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama Yako.
Ufundi nilionao kwa Sasa you tube haupo,kwenye vitabu haupo, Sasa jiulize nimeupata wapi.
Nisaidieni na Mimi namba za hao mateacher wa fx hapa Tanzanianakushauri achana na vitabu utapoteza muda kama una pesa kidogo jaribu kuwatembelea Hawa.
Intelligence fx
Low-key fx
Dizofx
Pipstorm fx
Joshua fx
Msumba fx
wote hao wanakula market structure.
Ila ukitaka kupata mwanga 40% hata Mimi naweza kukusaidia..60% utatafuta kwa wengine.
Mwenye namba ya pipstorm, dizo, fuad naomba mnisaidie na Mimi jamaniNisaidieni na Mimi namba za hao mateacher wa fx hapa Tanzania
Boss kwema .samahan unaweza kunipa mwanga kuhus forex . Nataka nijaribu.Nakupinga boss ! mtu forex ni charts siyo vitabu.
Kwenye forex tunafanikiwa kwa experience na siyo vitabu, experience tunaipata kupitia charts..
Nakupinga Tena , ila siyo lazima ufate ushauri wangu, hata Mimi mwanzoni nilikuwa na mawazo kama Yako.
Ufundi nilionao kwa Sasa you tube haupo,kwenye vitabu haupo, Sasa jiulize nimeupata wapi.
Nitafute kwa wakati wakoB
Boss kwema .samahan unaweza kunipa mwanga kuhus forex . Nataka nijaribu.
Nimefatiria charting zako unaonekana unamadini kuhus hii industrily .
Msaada tafadhari