Naomba kujua namna ya kuhifadhi vitunguu.

Naomba kujua namna ya kuhifadhi vitunguu.

Humilis

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
889
Reaction score
1,070
Habarini wana Jf.
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kuhifadhi vitunguu.Nahitaji kuhifadhi peto kama 10 hivi kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu hivi.

Natanguliza Shukrani.
 
Habarini wana Jf.
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kuhifadhi vitunguu.Nahitaji kuhifadhi peto kama 10 hivi kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu hivi.

Natanguliza Shukrani.
Tengeneza kibanda chenye chanja, kitafaa zidi.
 
Tengeneza kibanda chenye chanja, kitafaa zidi.
Ahasnte..haiwez kufaa ndan?endapo nikaviweka chumba chenye hewa ya kutosha,sehemu kavu na nikavimwaga na kuvisambaza?
 
Ahasnte..haiwez kufaa ndan?endapo nikaviweka chumba chenye hewa ya kutosha,sehemu kavu na nikavimwaga na kuvisambaza?
Unyevu ndani hasa vikigusa sakafu huwa vinwharibika, ila changua inayofaa zaidi.
 
Nafahamu njia ,ila ni endapo vipo shambani,chukua dumu la duara la litr 20 jaza maji funika vizuri ,viringisha shambani hii itasaidia kuvunja vikonyo baada ya mda vitaanza kuwa kama vinachipua tena,ndio njia ya asili niijuayo
 
Nafahamu njia ,ila ni endapo vipo shambani,chukua dumu la duara la litr 20 jaza maji funika vizuri ,viringisha shambani hii itasaidia kuvunja vikonyo baada ya mda vitaanza kuwa kama vinachipua tena,ndio njia ya asili niijuayo
Ahsante,lakini lengo ni kuhifadhi vilivyovunywa tayari ili masika niviuze.
 
Du ninahicho kibarua cause natarajia vuna December, njia nikuweka ndani ya chumba/ghala lakini ni lazima uvining'inize, unaviweka kwenye mafungu halafu unavifunga kwa juu ndo inavitundika juu
 
Niliona documentary BBC how to store onions. Vinawekwa kwenye ghala lisilo na mwana na joto la 35-40 Fahrenheit. Vinakaa mwaka mzima bila wasiwasi

Hifadhi kwenye mifuko ya karatasi iliyotobolewa.
How to Harvest and Store Onions
 
Du ninahicho kibarua cause natarajia vuna December, njia nikuweka ndani ya chumba/ghala lakini ni lazima uvining'inize, unaviweka kwenye mafungu halafu unavifunga kwa juu ndo inavitundika juu
Pole..lakin utafanikisha.Umelimia wap mkuu??
 
Back
Top Bottom