Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina haja ya app..kama una s4 nenda kwenye call log then click iyo namba alafu bonyeza button ya option utaona 'Add to reject list'..ukiClick apo hakupati milele.Habari wana forum,kuna watu wengine ni wasumbufu sana kwenye simu anaejua namna ya kublock ili asinipate akinipigia wala kutuma text.
natumia sim aina ya samsung s4
Haina haja ya app..kama una s4 nenda kwenye call log then click iyo namba alafu bonyeza button ya option utaona 'Add to reject list'..ukiClick apo hakupati milele.
Kublock sms zake nenda kweny messages utaiona iyo option pia.
Kwa nini unahangaika kublock wakati akibadili namba atakupata? Kama hukimbii madeni basi una uhuru wa kumkataza mtu yeyote asiwasiliane na wewe. Hata kama ni moenzi au mtalaka au adui ni kuwa wazi tu kuwa "sitaki nawasiliano na wewe". Kama ana akili atasitisha kwa kuwa mapenzi au urafiki havilazimishwi.
kama huna deni basi kuna ka mchepuko ulikadanganya kua upo single sasa kadri siku zinavo zidi kwenda unaona atakuaribia kwa bibie/babaa............hahahaha unaloHabari wana forum,kuna watu wengine ni wasumbufu sana kwenye simu anaejua namna ya kublock ili asinipate akinipigia wala kutuma text.
natumia sim aina ya samsung s4
check call setting then ingiza namba yake kwenye black list.
nenda call setting check black list ingiza namba zake weka on kwisha habari yake
MuignoreHivi hakuna namna ya kumblock mtu asijibu post zangu humu?
Muignore
Asante sana MkuuMuignore