Naomba kujua ni msanii gani wa bongo flava alieimba kwenye movie ya the house

Naomba kujua ni msanii gani wa bongo flava alieimba kwenye movie ya the house

UKI

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
691
Reaction score
173
Please kama unajua msanii wa bongo flava wimbo wake umetumika kwenye movie ya kimarekani ya "THe house at the end of the street" ni msanii gani huyu? movie hii imetolewa mwaka jana 2012 nikasikia mtu anachana bongo flava ndani nikashangaa sana director wa hii movie ni Mark Tonderai starring ni jeniffer lawrence (kama mnaofatilia jennifer alipata awards for the best actors 2013 usa)
kama kuna mwenye kujua anijuze tafadhali, nampongeza in advance sauti nahisi kama ya AY lakini sina uhakika
 
Ni Movie nzuri lakini nipe muda kidogo nitakuja na jibu sahihi!
 
Yaani ina maana sauti ya AY huijui !!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hao jamaa ni wakenya, sio AY

 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom