Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.
Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.
Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.
Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.
Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.
Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.
Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
Si unajua tena tunatofautiana kwenye mambo ya mnuso? Unaweza kuinusa kitu ukaona inanukia vizuri lkn ikawa kichefuchefu kwa mwenzako. Lakini maza alikuwa anapenda sana kampuni ya AIR WICK.brand zipi quality?
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?
Shikamoo Bibi. Huonekani mjengoni. Ama majukumu yamekuzidi?Wanafukiza amma udi (oud) amma perfume.
Zipo perfumes na vitezo vyake za kufukiza. (google "perfume burners").
Shikamoo Bibi. Huonekani mjengoni. Ama majukumu yamekuzidi?
Kumbe na huko "Maobama" kuna samaki wenye shombo kama kwetu Musoma-Mara?Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.
Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.
Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.
Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.
Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.
Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.
Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
Candles za flavor tofauti zinasaidiaKuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?
Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.
Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.
Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.
Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.
Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.
Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.
Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
We jamaa bhana..yaani umeshindwa kuniuliza pale pale home mpaka uje JF!?
Anyways Mimi njia yangu no simple saana, natumia njia natural and sustainable nimepanda maua madogo mazuri halisi kabisa pale sebuleni na baadhi ya maeneo ndani kwenye vikopo maalumu..maua hayo ni special kwa ajili ya home aromas..maua yanapatikana Spain, Italy and Turkey mostly yanaitwa Queen of the aromatic night...!
Ukija tena uniambie nikukatie kaua ukapande home kamche kamoja tu kanatosha kunukisha hata ghorofa. In case usiponikuta we chuma kajani kamoja kwa kuvizia akikisha mlinzi hakuoni maana hanaga dogo yule yelo!
Kumbe na huko "Maobama" kuna samaki wenye shombo kama kwetu Musoma-Mara?
Hahaha...Sorry, this is funny man.Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?