Naomba kujua sababu ya Kiufundi kabisa ya Mavambo kuwa anaanzia Benchi na Ngoma kuanza First Eleven Simba SC

Naomba kujua sababu ya Kiufundi kabisa ya Mavambo kuwa anaanzia Benchi na Ngoma kuanza First Eleven Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nitamuelewa tu Kocha Fadlu kama Wawili hawa wakianza pamoja, ila kwa Mimi GENTAMYCINE huyu Mavambo kuwa anaanzia Benchi kiukweli huwa simuelewi Kocha Fadlu japo namheshimu mno na nakubali Kazi yake kwani mpaka sasa katufanya wana Simba SC tusiwe busy Kutembea na Calculators (Vikokotoo) kujua kama tutapita au ndiyo imeisha hiyo kama Wavuvi wa Kigamboni.
 
Mavambo sio mzuri kwenye passing accuracy kama Ngoma, Fadlu anapenda kiungo mmoja ahusike kwenye buildup
Sasa kama passing accuracy yako sio elite basi ukiporwa mipira ni umechoma

Ukiangalia Ngoma ana accuracy kubwa ya passing

Ni press resistant

Halafu pembeni anawekewa mvunja Kuni Kagoma

Kwahiyo Debora atasubiri sana
 
Mavambo sio mzuri kwenye passing accuracy kama Ngoma, Fadlu anapenda kiungo mmoja ahusike kwenye buildup
Sasa kama passing accuracy yako sio elite basi ukiporwa mipira ni umechoma

Ukiangalia Ngoma ana accuracy kubwa ya passing

Ni press resistant

Halafu pembeni anawekewa mvunja Kuni Kagoma

Kwahiyo Debora atasubiri sana
Shikamoo Mkuu hakika Wewe ni Mchambuzi hasa na hata Mpira unaujua pia vile vile. Nimekuelewa mno Asante.
 
Nitamuelewa tu Kocha Fadlu kama Wawili hawa wakianza pamoja, ila kwa Mimi GENTAMYCINE huyu Mavambo kuwa anaanzia Benchi kiukweli huwa simuelewi Kocha Fadlu japo namheshimu mno na nakubali Kazi yake kwani mpaka sasa katufanya wana Simba SC tusiwe busy Kutembea na Calculators (Vikokotoo) kujua kama tutapita au ndiyo imeisha hiyo kama Wavuvi wa Kigamboni.
Kwa Siku kadhaa hapa nyuma mavambo hajawa timamu kama alivyokuwa awali ukimlinganisha na ngoma au kagoma yusuph ambao dual yao tunaona wazi inalipa kwenye kiungo
 
Mavambo sio mzuri kwenye passing accuracy kama Ngoma, Fadlu anapenda kiungo mmoja ahusike kwenye buildup
Sasa kama passing accuracy yako sio elite basi ukiporwa mipira ni umechoma

Ukiangalia Ngoma ana accuracy kubwa ya passing

Ni press resistant

Halafu pembeni anawekewa mvunja Kuni Kagoma

Kwahiyo Debora atasubiri sana
Umenena vyema kabisa..Mavambo hata kama sijui mpira ila anapoteza sana pass...akijirekebisha ni moto wa kuotea mbali
 
Nitamuelewa tu Kocha Fadlu kama Wawili hawa wakianza pamoja, ila kwa Mimi GENTAMYCINE huyu Mavambo kuwa anaanzia Benchi kiukweli huwa simuelewi Kocha Fadlu japo namheshimu mno na nakubali Kazi yake kwani mpaka sasa katufanya wana Simba SC tusiwe busy Kutembea na Calculators (Vikokotoo) kujua kama tutapita au ndiyo imeisha hiyo kama Wavuvi wa Kigamboni.
Dah nilisikia kuwa umekufa, Alhamdulilah upo hai.
 
Ngoma ni bora sana kwenye long passe, pass za mita 10,15. Pass za kuvuka mistari ya wapinzani, anakupa faida ya mipira ya juu, kuzuia ama kushambulia, vision yake kwenye pass ni kubwa na accuracy yake iko juu pia, ana utulivu ni press resistant mzuri sana japo na debora nae ana sifa hii ila ngoma ni mzuri zaidi ya akipiga chemga moja anaachia mali sehemu salama, debora anaweza kufanya turn akataka kumrudia ampigechenga tena, ama atafanya turn ambayo hsina ulazima, ngoma ni mzuri sana, japo yupo mwishoni mwishoni mwa soka lake, anakupa msaada kwenye kuzuia, kuchezesha timu na kushambulia.

Debora zaidi ya zile skills zake, turn na zake, hana kingine cha maana, wakati ngoma anasugua, mimi ni mmoja ya watu ambao nilikuwa nasema wazi bado ngoma ni bora kwa viungo tulionao, labda waje wengine.
Debora anapiga sana sideway pass, na ni fupi fupi, wakati ngoma anaweza kupiva pass za kwenda mbele, tena ikipenetrate katikati ya wapinzani.
Debora ajifunze kwa ngoma ili awe bora.
 
Back
Top Bottom