GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Likewise.Happy new year Gentamicin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likewise.Happy new year Gentamicin
Yule Dada wa Mikocheni ameshamharibu na niliposikia tu kuwa yupo nae Kimahusiano nikajua atapungua Kiufanisi.Kwa Siku kadhaa hapa nyuma mavambo hajawa timamu kama alivyokuwa awali ukimlinganisha na ngoma au kagoma yusuph ambao dual yao tunaona wazi inalipa kwenye kiungo
Na ndo tatizo la Mapro wakigeni wakishafika jijini wanaangukia kwenye mikono ya hao pepo wachafu mwisho wa cku wanajizikaYule Dada wa Mikocheni ameshamharibu na niliposikia tu kuwa yupo nae Kimahusiano nikajua atapungua Kiufanisi.
Anzisha team yako umsajili Mavambo awe anaanza first 11. Ujuaji mwingi na hakuna ujualo!Nitamuelewa tu Kocha Fadlu kama Wawili hawa wakianza pamoja, ila kwa Mimi GENTAMYCINE huyu Mavambo kuwa anaanzia Benchi kiukweli huwa simuelewi Kocha Fadlu japo namheshimu mno na nakubali Kazi yake kwani mpaka sasa katufanya wana Simba SC tusiwe busy Kutembea na Calculators (Vikokotoo) kujua kama tutapita au ndiyo imeisha hiyo kama Wavuvi wa Kigamboni.
Sio tu kupoteza pasi,afanye mazoezi kweli apate pumzi maana anaishiwa pumzi mapema sana.Aongeze kujiamini na kuongeza umakini akiwa na asipokua na mali.Akifanyia kazi yote hayo ataimbwa sana Msimbazi.Umenena vyema kabisa..Mavambo hata kama sijui mpira ila anapoteza sana pass...akijirekebisha ni moto wa kuotea mbali
Haukua na haja ya kujidhalilisha hapo kwenye herufi kubwa...Mavambo anaonekana garasa mbele ya ngoma? Ngoma aliyekuwa anatajwa kufurushwa dirisha hili dogo la usajili. Deborah aliyeimbwa kana kwamba ndo LEONEL MESSI leo anawekwa benchi na okajepha. cha kujifunza ni kuwa
1. tuheshimu taaluma ya mtu,ngoma alionekana garasa,hamkujua kuwa anaweza kubadilika,mkampa debora ufalme.
2. bidii ktk kazi ngoma ni mfano hai.
3. sifa zinapoteza DEBORA amepotezwa na mashabiki au ubora alioimbwa nao ulikuwa batili.
YANGA BINGWA CAFCL ,NBC PL,CRDB FA CUP & MUUNGANO CUP.
🤣🤣🤣Haukua na haja ya kujidhalilisha hapo kwenye herufi kubwa...
😆 😆 😆 😆
👍👍👍Mavambo sio mzuri kwenye passing accuracy kama Ngoma, Fadlu anapenda kiungo mmoja ahusike kwenye buildup
Sasa kama passing accuracy yako sio elite basi ukiporwa mipira ni umechoma
Ukiangalia Ngoma ana accuracy kubwa ya passing
Ni press resistant
Halafu pembeni anawekewa mvunja Kuni Kagoma
Kwahiyo Debora atasubiri sana
Haukua na haja ya kujidhalilisha hapo kwenye herufi kubwa...
Thanks,umeongea kiufundi zaidiMavambo sio mzuri kwenye passing accuracy kama Ngoma, Fadlu anapenda kiungo mmoja ahusike kwenye buildup
Sasa kama passing accuracy yako sio elite basi ukiporwa mipira ni umechoma
Ukiangalia Ngoma ana accuracy kubwa ya passing
Ni press resistant
Halafu pembeni anawekewa mvunja Kuni Kagoma
Kwahiyo Debora atasubiri sana