Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Wadau Heri ya Christmas
Msimu huu wa sikukuu kila mtu anapenda kwenda sehemu kusheherekea sikukuu
Na mimi nimejipanga mwaka mpya niende Zanzbar kula mwaka mpya
Naombeni mnitajie maeneo mazur ya kwenda kutembelea na kurefresh mund lakin yasiwe ya bei ghari
Sisi watu wa Mbagala tushazoea vya bei chee
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu wa sikukuu kila mtu anapenda kwenda sehemu kusheherekea sikukuu
Na mimi nimejipanga mwaka mpya niende Zanzbar kula mwaka mpya
Naombeni mnitajie maeneo mazur ya kwenda kutembelea na kurefresh mund lakin yasiwe ya bei ghari
Sisi watu wa Mbagala tushazoea vya bei chee
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app