MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habari wakuu, nimekuja hapa kwenu nina changamoto moja kubwa sana. Hasa katika kufanya miamala online, nimefungiwa na CRDB sijui kwa nini ila sitaki kujua. Maana kutuma naweza ila, kuingiza siwezi.
Ombi langu nimeona baadhi ya sifaa kadhaa na hii Bank sijajua kama iko Tanzania ila kikubwa kwangu ni kufanya miamala bila usumbufu wala tatizoo lolote.
Na kama basi hiyo bank hainifaii naomba uniambiee ilio na afadhalii yenye gharama nafuu na bila usumbufuu. Maana kama mateso yana toshaaa. CRDB sio watu wa mchezo mchezo. Nimechoka usumbufu kwa ku verify card kila dakika. Kufungiwa. Pesa kuchelewa.
Ombi langu nimeona baadhi ya sifaa kadhaa na hii Bank sijajua kama iko Tanzania ila kikubwa kwangu ni kufanya miamala bila usumbufu wala tatizoo lolote.
Na kama basi hiyo bank hainifaii naomba uniambiee ilio na afadhalii yenye gharama nafuu na bila usumbufuu. Maana kama mateso yana toshaaa. CRDB sio watu wa mchezo mchezo. Nimechoka usumbufu kwa ku verify card kila dakika. Kufungiwa. Pesa kuchelewa.