Naomba kujua sifa za sufuria za non stick

Naomba kujua sifa za sufuria za non stick

Sikia,ukitaka sufuria bora zingatia na bei. Sufuria yoyote (set) chini ya 250K sio. Andaa kuanzia hapo 250K hadi 900K huko zipo.
Na zilizo bora ni stainless steel, granite, cast iron n.k.
Binafsi napenda masufuria kuliko chochote jikoni.

Aende gsm Home pia wanazo original kabisa za non stick ni uhakika 100%
 
Hebu toeni picha ya sufuria ya teflon. Tuwahi huko home tuombe wife akague.

IMG_5743.jpg

IMG_5742.jpg
 
Mkuu asante Sana. Yaani tayari zimetolewa. Hiyo cast kuitambua mtihani. Wife alikuwa nazo Sana pan 3 na sufuria 2. Plus copper 1. Madukani cast ipo?

Inategemea na hizo zake aliponnua pamoja na bei pia zipo ambazo ni original ila kwa sasa ni kazi kuzipata kuhusu cast iron zipo wanauza ila kwa ushauri tu tafuta maduka yanayoeleweka kama
Supermarket zenye vyombo tafuta gsm home box kwa hawa wauzaji wa instagrm na kariakoo hutapata ambayo ni yenyew na kuitambua ni kazi ila ukiekewa mbili uchague unaweza kuitambua ipi ni yenyew manake muonekano wake ni tofaut
 
Kwanini?maana ndo nilitak nikanunue Zina madhara?

Non stick nyingi wanaleta low quality zenye Teflon ambayo inasifika kwa kusababisha magonjwa kwenye Figo

Cast Iron hazina Teflon PIA Stainless steel ni nzuri
 
Tulikuwa tunapenda sana hayo ma non stick, baadae ukishakuwa na familia unaanza kuwa na machale kwenye kila unachonunua, ndipo nilipokutana na scandal ya teflon na wakaazi mji wenye viwanda vya kutengeneza hizo teflon marekani walikuwa wanakufa kwa cancer
Sufuria za bati hizo zinazouzwa mitaani ni bora mara elfu, kawaunge mafundi na pia wewe kwa afya yako

View attachment 2760879
Nimenunua hizi hapa mwezi july tu,japo nilikuwa nakumbuka kuhusu teflon sijui kwanini sikufatilia muda uleule;

Naomba kujua,hii ni teflon coating?
 

Attachments

  • IMG-20231011-WA0025.jpg
    IMG-20231011-WA0025.jpg
    48 KB · Views: 3
Kama ni rangi ya shaba ndani, itakuwa ni copper pia inasemekana sio nzuri kwa kuwa matumizi ya muda mrefu hasa kwa mapishi yenye tindikali(acid) ya asili i ikiwemo nyanya na malimau, husababisha mmomonyoko wa shaba kuchanganyikana na chakula ambao shaba ni hatari ikingia mwilini.
Hizo zenye utando mweusi, ambazo zinaitwa non stick, zinatengenezwa na mchangayiko wa kemikali hatari sana ambazo zingine zimepigwa marufuku, lakini sasa kwa nchi kama Tanzania sijui hata watafuatilia zinatoka wapi au zinatengenezwa vipi
Sufuria nzuri ni zilizotengenezwa na stainless steeel kama hizi chini hapa ambazo ndio zinazojulikana kwa kuwa ni salama zaidi kwa matumizi ya vyombo vya mapishi.

View attachment 2777205
Hizi zangu vipi mkuu
 

Attachments

  • IMG-20231011-WA0025.jpg
    IMG-20231011-WA0025.jpg
    48 KB · Views: 3
Nimenunua hizi hapa mwezi july tu,japo nilikuwa nakumbuka kuhusu teflon sijui kwanini sikufatilia muda uleule;

Naomba kujua,hii ni teflon coating?

Zina kazi kuzitambua kwa macho hasa kwenye picha na hatujui zilkuwa za bei gani hizo zako manake sio non stick zote zina teflon kama uko na box zake uangalie wwmeandikaje details za kutumia hasa kwnye temperature za teflon sana zinakua na limit ya heat kwenye kupikia je uko na box tuone
 
Zina kazi kuzitambua kwa macho hasa kwenye picha na hatujui zilkuwa za bei gani hizo zako manake sio non stick zote zina teflon kama uko na box zake uangalie wwmeandikaje details za kutumia hasa kwnye temperature za teflon sana zinakua na limit ya heat kwenye kupikia je uko na box tuone
Hizi ni royal dessini mkuu,kwenye box ndio sina kwa sasa yaani!
Dah!
 
Hizi ni royal dessini mkuu,kwenye box ndio sina kwa sasa yaani!
Dah!

Unaweza kutumia hizo royal dessini ni cast iron

( nimetumia account nyengne account yngu imeleta shida kila nikitaka kupost picha inanisumbua nimeifutilia mbali sipendi kuhangaika kwa simu yangu mwenyew )
 
Unaweza kutumia hizo royal dessini ni cast iron

( nimetumia account nyengne account yngu imeleta shida kila nikitaka kupost picha inanisumbua nimeifutilia mbali sipendi kuhangaika kwa simu yangu mwenyew )
okay asante,naomba nitakurudia tena mkuu.
 
Hizi genuine Ngoja nitazifuatilia ulikosema. Hakika mambo ya jikoni ya wife Ila kwa hizo cooking utensils Ngoja niingie sokoni maana wao wataogopa bei ila Mimi ninajali Afya zao. Atashangaa zimeingia cast Iron na Stainless Steel.

Mkuu asante. Nitazisaka nizipate zote Cast Iron na Stainless Steel.

Good[emoji1374]
 
Sufuria nzuri, wataalamu wanashauri:
Stainless steel na Ceramic
 
Back
Top Bottom