Kama ni rangi ya shaba ndani, itakuwa ni copper pia inasemekana sio nzuri kwa kuwa matumizi ya muda mrefu hasa kwa mapishi yenye tindikali(acid) ya asili i ikiwemo nyanya na malimau, husababisha mmomonyoko wa shaba kuchanganyikana na chakula ambao shaba ni hatari ikingia mwilini.
Hizo zenye utando mweusi, ambazo zinaitwa non stick, zinatengenezwa na mchangayiko wa kemikali hatari sana ambazo zingine zimepigwa marufuku, lakini sasa kwa nchi kama Tanzania sijui hata watafuatilia zinatoka wapi au zinatengenezwa vipi
Sufuria nzuri ni zilizotengenezwa na stainless steeel kama hizi chini hapa ambazo ndio zinazojulikana kwa kuwa ni salama zaidi kwa matumizi ya vyombo vya mapishi.
View attachment 2777205