mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Kaka kakibanda cha bati, mauzo sh 2500/= kwa siku ndio nikachukue tin namba?Ndiyo wewe unatakiwa uwe na tin number wewe Sio machinga kwa sababu unakibanda
Acha uzembe nenda tra wakupe tin number
Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi
Sio kosa cha msingi in mauzo/faida yako yasizidi million nne kwa mwakaHabari za muda huu wana jukwaa! Naomba kujua tafsiri sahihi ya mmachinga ambae ndie mlengwa wa kitambulisho cha umachinga! Swali langu: kama wewe ni mtumishi wa serikali mfano mwalim, au muhudumu wa ofisi, una kakibanda kako maeneo ya mjini Unauza uza pipi, sigara, vocha na vitu vingine vidogo vidogo, je ukienda kuchukua kitambulisho kile ni Makosa kisheria?
Nashukuru kwa mchango wako!Sio kosa cha msingi in mauzo/faida yako yasizidi million nne kwa mwaka
Nitaleta mrejesho Ndg! Inawezekana wengi Wapo kama mm NA tunaogopa kwenda kuchukua vitambulisho hivi.Kajaribu kwenda mkuu halafu usiache kuleta mrejesho hapa.
Wajuzi watakujuza mkuu lakin
Mbona hueleweki, faida au mauzo?Sio kosa cha msingi in mauzo/faida yako yasizidi million nne kwa mwaka
Kuwa mkweli dhamiri yako ikukushudiaKaka kakibanda cha bati, mauzo sh 2500/= kwa siku ndio nikachukue tin namba?
FaidaMbona hueleweki, faida au mauzo?
Ama kweli alieshiba hamjui mwenye njaa! Hapa hata ukimwambia mtu kama naishi kwa mlo mmoja kwa siku mtu hawezi kuamini!Kuwa mkweli dhamiri yako ikukushudia
Je unauza 2500 tuu kwa Siku??
Unajua tatizo wabongo ni waongo usikwepe kodi
Ndiyo maana inabidi serikali iweke fixed amount kwa watu kama ninyi mnao Ongea uongo
Utakuwa umechanganya mkuu!! Kodi hutozwa kwenye mauzo!!Faida
Namaanisha Faida yangu ya kutwa moja! Haizidi 2500/=Ama kweli alieshiba hamjui mwenye njaa! Hapa hata ukimwambia mtu kama naishi kwa mlo mmoja kwa siku mtu hawezi kuamini!
Upo wap mkuuAma kweli alieshiba hamjui mwenye njaa! Hapa hata ukimwambia mtu kama naishi kwa mlo mmoja kwa siku mtu hawezi kuamini!
Najua mauzo ila inatolewa kwenye faidaUtakuwa umechanganya mkuu!! Kodi hutozwa kwenye mauzo!!
samahani ndugu unafanya biashara gani?Namaanisha Faida yangu ya kutwa moja! Haizidi 2500/=
Mkuu kodi, hutozwa kwenye mauzo ghafi, ndio maana, hata jedwari la viwango vya kodi la TRA, wame group kwa kiwango cha mauzo. Na hata siku moja watakuulizi kiwango cha faida. Ila kwa wenye mauzo nadhani kuanzia milioni 140 kwa mwaka, ndio wana kuwa na sifa za kutoza VAT. wao ndio yanachukuliwa mauzo ghafi, wanatoa manunuzi yaliyofanyika mwezi husika, ile tofauti ndio unalipa/una rejeshewa. Lakini hakuna kodi inayo tozwa kwenye faida, kwani ingekuwa ni ngumu sana kwa serikali kupata kodi, kila mtu angefanya matumizi yakawa makubwa kuliko mauzo,Najua mauzo ila inatolewa kwenye faida
Ndiyo wewe unatakiwa uwe na tin number wewe Sio machinga kwa sababu unakibanda
Acha uzembe nenda tra wakupe tin number
Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi
Nauza pipi, biscuit, viberiti, maji safi ya kunywa, pop cone, vyote hivyo ni reja reja! Ukifika jioni nahamisha bidhaa zangu kwa hofu ya kuibiwa, kesho asbh napanga tena.samahani ndugu unafanya biashara gani?