mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Habari za muda huu wana jukwaa! Naomba kujua tafsiri sahihi ya mmachinga ambae ndie mlengwa wa kitambulisho cha umachinga!
Swali langu: kama wewe ni mtumishi wa serikali mfano mwalim, au muhudumu wa ofisi, una kakibanda kako maeneo ya mjini Unauza uza pipi, sigara, vocha na vitu vingine vidogo vidogo, je ukienda kuchukua kitambulisho kile ni Makosa kisheria?
Swali langu: kama wewe ni mtumishi wa serikali mfano mwalim, au muhudumu wa ofisi, una kakibanda kako maeneo ya mjini Unauza uza pipi, sigara, vocha na vitu vingine vidogo vidogo, je ukienda kuchukua kitambulisho kile ni Makosa kisheria?