Naomba kujua taratibu za kumtafuta mbia

Naomba kujua taratibu za kumtafuta mbia

mwanafasafajo

Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
11
Reaction score
0
Husika na Habari hapo juu,waheshimiwa shida Yangu ni moja tu kumtafuta mbia nisaidieni kujua niifanyie kazi!

Idea Yangu inahusu kuanzisha mtandao wa kijamii wa kipekee!
 
Mbia wa biashara gani?? Ili uelekezwe platform sahahia. Unadhani wabia ni Matunguli kwamba utayakuta kwa mganga??

Sema nina biashara ya Upimaji viwanja nahitaji Directrory ya kupata Mbia, au Nafanya Biashara ya Mafuta ya alizeti nahitaji Mbia utaelekezwa kwa wabia wa bidhaa za Mafuta.

Kama unahitaji Mbia wa mambo ya Ngono mtafute Zero IQ
 
Mbia wa biashara gani?? Ili uelekezwe platform sahahia. Unadhani wabia ni Matunguli kwamba utayakuta kwa mganga??

Sema nina biashara ya Upimaji viwanja nahitaji Directrory ya kupata Mbia, au Nafanya Biashara ya Mafuta ya alizeti nahitaji Mbia utaelekezwa kwa wabia wa bidhaa za Mafuta.



Huoni Kwamba nitakuwa Nauza idea
 
Mm sijasema utangaze idea yako. Nimesema Sema Secta ya huyo mbia unayemtaka.

Hata ukimpata na kumshirikisha Idea yako anaweza akakuacha solemba akafanyia kazi idea yako na ww ukabaki unakuna Pu*mbu tu
 
Mbia wa beer niko hapa nakunywa kreti tano kwa siku...
 
Akili ndogo
Mkuu sio akili ndogo.
Watu wanakudhihaki kwa sababu hujui kujieleza.
Wabia wapo wa aina nyingi sana.
Kuna mbia kwenye biashara za uvuvi wa samaki.
Kuna mbia wa biashara ya kufuga kuku.
Kuna mbia kwenye biashara ya kulima matikiti,vitunguu,maparachichi.
Kuna mbia wa kampuni za kuzoa taka.
Kuna mbia wa kampuni za kuuza pombe.
Kuna mbia wa biashara za kusafirisha na kuuza vyakula.
Kuna mbia wa biashara ya kuuza Malaya.
Sasa elezea ww uko upande gani ili huyo mbia akivutiwa na biashara yako ajitokeze na kukutafuta.
Mbona kiswahili ni lugha yetu na chepesi jamani.
 
Back
Top Bottom