Naomba kujua tofauti ya Rappers na Mcee ni ipi?

Emcee ni yeyote anayetumia kinywa chake kuwarusha watu (moving the crowd), hata DJ anaweza kuwa emcee.

Emcee hufikiri kabla ya kusema. Rappers mara nyingi huwa ni wanasema tu hata kama havina maana, mradi vibes. Mfano mzuri ni Jay Mo anafikiri kabla ya kusema, Godzilla alikuwa anasema tu.

Rappers wao huangalia hela na umaarufu zaidi na ikibidi hata kukosa adabu na kujivunjia heshima, while emcees huangalia heshima zaidi.
 
Mc ni kama 2pac na rapper ni BIG Notorious

Mc ni kama Rakim
Ni kam Talib Kweli
Ni kama Lupe Fiasco
Ni kama Kendrick Lamar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…